chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Mwili wa kichanga umeokotwa kwenye dampo la taka Kilimahewa kwa Msuka huko Ilemela Mwanza ukiwa umetupwa na mtu asiyefahamika
Mwili huo uligunduliwa na watoto waliokuwa wanaokota mifuko ya plastiki katika dampo hilo
Wananchi wanaoishi karibia na eneo hilo walioshuhudia wamesikitishwa sana na tukio hilo na kuwaasa watoto wa kike wasiokuwa na uwezo wa kulea ni bora wangetumia njia za kujilinda kupata mimba kuliko kufanya ukatili huo
Mwili huo umechukuliwa na plisi kwa uchunguzi zaidi na wanamsaka mtu aliyefanya tukio hilo