Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Tafadhali jamani, Kama hamfahamu taratibu za mazishi ya muislamu bora mkae kimya.
Muislamu akifa sharti afanyiwe mambo manne na sivinginevyo.
1.Kuoshwa
2.kuvikwa sanda
3.kuswaliwa
4.kuzikwa
Hao wengine walioagwa kwa mbwembwe na gharama nyingi za serikali SI WAISLAM?