TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Hatimae uongozi wa Baraza la Mpito la Libya umezika mwili wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Col Gaddafi na mwanae Mutassim sehemu ya siri tena jangwani. Uamuzi huu umefikiwa kwa hofu kwamba angezikwa sehumu ya wazi wafuasi wake wangeligeuza kaburi lake kama kaburi takatifu na hivyo serekali hiyo kukosa mvuto machoni mwa wa Libya.
Source:-
NTC says Gaddafi buried in secret grave - Africa - Al Jazeera English
BBC Swahili - Habari - Kanali Gaddafi 'azikwa' kisiri Libya
Source:-
NTC says Gaddafi buried in secret grave - Africa - Al Jazeera English
BBC Swahili - Habari - Kanali Gaddafi 'azikwa' kisiri Libya