Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Yule activitist maarufu duniani mama Dr. Wangari Maathai aliyefariki wiki iliyopita, mwili wake utachomwa moto mapema wiki hii kutokana na ujumbe wake mwenyewe kwamba akifa asizikwe bali achomwe moto kwani alipinga vikali ukataji wa miti ya mbao kwa kutengenezea majeneza.
Rest In Peace Mama Maathai.
Rest In Peace Mama Maathai.