masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,853
- 13,137
- Thread starter
- #221
Alikuwa anapendwa na watu, na alikuwa mioyoni mwao.Uzi umechangiwa kweli kweli huu wa marehemu Dr Mwele Ntuli. Angekuwa aliyefariki ni Mwakifyatu hata angekuwa alikuwa na wadhifa wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa, sidhani kama wachangiaji wangefika hata kumi. Hapa wameshafika zaidi ya 221. Nimekumbuka ule wimbo wa Msondo ngoma!