Mwili wa Alphonce Mawazo wageuzwa kuwa suala la kisiasa

polisi watuache tumzike kamanda wetu, wanaogapa nini wakati kifo wamesababisha wao na green guard wa ccm.
 
Kwa nini mlimuua mtu asiye na hatia??????????, kisa siasa!!!!! Hapana hapana!!!!! acha azikwe kwa heshima zote za kichama. mlikatisha maisha yake hata sherehe yake ya mwisho hamtaki!!!!!!!!!!!! Utu ni zaidi ya madaraka na kujipendekeza fungua macho nyinyi mtaisha lakini Tanzania itaendelea kiwepo na vizazi vyake.
 
Kwa nini mlimuua mtu asiye na hatia??????????, kisa siasa!!!!! Hapana hapana!!!!! acha azikwe kwa heshima zote za kichama. mlikatisha maisha yake hata sherehe yake ya mwisho hamtaki!!!!!!!!!!!! Utu ni zaidi ya madaraka na kujipendekeza fungua macho nyinyi mtaisha lakini Tanzania itaendelea kiwepo na vizazi vyake.

kweli kabisa kaka, walimuua kisiasa lazima azikwe kisiasa.
Hawa fisiem mwisho wao utafika tu.
 
Leo nameambiwa wameichangia familia ya Marehemu Mawazo takribani mlioni 30. Wanachama wangapi wa chadema wamefariki na hawaja wachangia kiasi kama hicho?????

Kumbe A. Mawazo alikuwa mwanachama kama wengine? kazi kweli kweli
 
Taarifa ambazo hazijadhibitishwa ni kuwa mwili huoumechukuliwa na polisi na kupelekwa kijijini kwa chini ya ulinzi na uenda wakaacha wameuzika wao
 
Msiojua mfunge vunywa vyenu maiti illiletwa mwanza kwa uchunguzi zaidi
 
Marehemu ALPHONCE. MAWAZO. roho yake imepumzika kwa sasa mbele ya mja wetu aliopo mwingine

Mwili wake umebaki unazungushwa kama piya na wana siasa katili wasionahuruma hata na mwili wa marehemu kisa tu siasa za maji taka ametolea monchwari geita na kuletwa mwanza monchwari piya sijui ile ya geita ilikua na joto kali

Mwili wa marehemu umekua kama maonyesho ya wana siasa poleni sana. wana ndugu najua hmna lakusema au kufanya kwa sababu wanasiasa wameshaingilia kila kitu.

- Nashindwa kuelewa hii ni taarifa ya kuhabarisha au hukumu ya mahakama yako mkuu? Maana ulitakiwa kuhabarisha kwanza and then ndio utoe hukumu, sasa umechanganya mashitaka na hukumu sisi tufanye nini mkuu?

- Ulitakiwa utuchekeshe sisi ndio tucheke, hapa umejitekenya na kujichekesha mwenyewe wasap?

le Mutuz
 
Msioijua Geita, hospitali ya mkoa haina monchwari yenye cold chambers kwa ajili ya kuhifadhi mwilu wa mtu kwa siku kadhaa..pale mwili uhifadhiwa kwa kupakwa dawa tu na kuwekwa kwenye yale makabati ambayo hayana refrigeration system.... Nafikiri hio ndio sababu kuu ya kutoa mwili wa Mawazo kutoka Geita kwenda Bugando Mwanza..
 
kutafuta umaarufu kwa njia kama hizi ni upuuzi mkubwa sana.. Sina hakika kama akili za viongozi zinawatosha... Hili la umaarufu wanalolitafuta litageuka kuwa laana
hayo ni matatizo ya kuwa na wanasiasa ndina wasioweza kujenga hoja wakasikika,wanadandia matukio tu.
 
kipaumbele cha kwanza ELIMU,cha pili ELIMU,cha tatu ELIMU ... MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA mlitaka azikwe vipi?
Unaposema hili suala wanaligeuza KISIASA mahjui huyu ni mwanachama na mwenyekiti wa mkoa?
Tunaona wanafariki viongozi wa dini wanazikwa na wafuasi wao, wanafariki wanamichezo wanazikwa na wapenzi wao, wanafariki wanasiasa na viongozi wetu wanazikwa na wananchi, wanafariki wasanii wanazikwa na wapenzi wao ... Nchi hii tunataka kuipeleka wapi na huu ushabiki usiokuwa na kichwa wala miguu, yani tunashindwa hata kutafakari tu na kujiuliza kama MAREHEMU ALIKUWA MWENYEKITI WA MKOA maana yake alikuwa mwenyekiti wa kitaifa, je haya yanayotokea alistahili au hakustahili? Utakavyoona Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki
 
kipaumbele cha kwanza ELIMU,cha pili ELIMU,cha tatu ELIMU ... MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA mlitaka azikwe vipi?
Unaposema hili suala wanaligeuza KISIASA mahjui huyu ni mwanachama na mwenyekiti wa mkoa?
Tunaona wanafariki viongozi wa dini wanazikwa na wafuasi wao, wanafariki wanamichezo wanazikwa na wapenzi wao, wanafariki wanasiasa na viongozi wetu wanazikwa na wananchi, wanafariki wasanii wanazikwa na wapenzi wao ... Nchi hii tunataka kuipeleka wapi na huu ushabiki usiokuwa na kichwa wala miguu, yani tunashindwa hata kutafakari tu na kujiuliza kama MAREHEMU ALIKUWA MWENYEKITI WA MKOA maana yake alikuwa mwenyekiti wa kitaifa, je haya yanayotokea alistahili au hakustahili? Utakavyoona Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki
Halafu mwenyekiti mzima jamani hata msaidizi au mpambe mmoja hana. Amekatwa mapanga mchana kweupe kaachwa pembeni mwa barabara peke yake bila msaada wo wote wala mtu wa kumsaidia. Tengeni fungu la pesa angalau dogo tu vigogo wa chama kama huyu wapate angalau mlinzi japo mmoja tu. This is not right kabisa!
 
Hii ni tabia mbaya sana kwa chama chochote cha siasa. sioni uhai wa chama chochote kinachotumia mbinu kama zinazotumiwa na CHADEMA kujipatia umaarufu wa kisiasa. MBINU ya kutumia mtu mmoja mmoja na misiba tena kwa msimu. Wakati wa kampeni Mzee JOSEPH SINDE WARYOBA aliwahi kuligusia hili wakati alipokuwa akiongelea namna alivyofuatwa na CHADEMA ili agombee urais kupitia chama hicho.
kwa nyakati tofauti CHADEMA wametumia Watu na misiba kujipatia umaarufu.
Miongoni mwa watu waliotumiwa na CHADEMA kujiimarisha kisiasa ni pamoja na:
1. ZITTO ZUBERI KABWE
2. DR. WILBROD PETER SLAA
3. EDWARD NGOYAI LOWASSA


Aidha misiba ambayo imetumiwa sana kujipatia umaarufu wa kisiasa ni pamoja na wa:
1. DAUDI MWANGOSI
2. ALPHONCE MAWAZO
3. REGIA MTEMA.

KITU kibaya kabisa ni kwamba watu hawa waliotumiwa baadaye walitupwa kama KARAI LA ZEGE tena kwa maneno ya DHIHAKA. LOWASSA ASIFIKIRI NA PESA ZAKE YUKO KWENYE MIKONO SALAMA, HIKI CHAMA NI KAMA PEPO. Familia za marehemu hawa zilizoahidiwa makubwa tena kwa mbwembwe tayari zilishaachwa kwenye mataa.

CHADEMA MNAPASWA KUTAMBUA KUWA HII TABIA NI YA KIPUUZI NA HAIMPENDEZI MUNGU, MNAWEZA KUJIKUTA MNABAKI KUWA WAPINZANI TENA WA KUPINGA MAMBO YA KIJINGAJINGA TU.
 
Back
Top Bottom