Mwili kutoa harufu (body odor): Chanzo, jinsi ya kuzuia na matibabu yake

ninawapenzi wawili nilifanyanao wote siku moja muda tofauti lakini bado sikuridhika nikaenda kununua barabarani lakini condm ili chanika kwa sababu nanii yangu huwa ni ndefu na nina tumia nguvu sana kufanya hivyo mara kwa mara huwa condm zinachanika ila kwa hili tatizo nitajitahidi kujizuia na nina mpango wa kuoa ili ni tulie eehe mungu nisaidie
Mpaka ufe ndio utapona... una dhani sifa eee...
 
Bado naangalia tarehe! Hii post ni ya mwaka na mwezi huu ama ni king'amuzi kinanidanganya?
 
Bado naangalia tarehe! Hii post ni ya mwaka na mwezi huu ama ni king'amuzi kinanidanganya?
Cha kwako kinakudanganya hii kitu ipo uptodate kabisa ilipostiwa last sunday 2 sep 2012... je yako inasemaje? au king'amuzi chako ni cha kichina? wewe Mrembo King'asti
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni Mkenya? hebu mwandikie kwa Kiswahili haya sasa ndio tungeyapata kama Serikali Wangeleta Madaktari kutoka Irani lazima wawepo na wakalimani!

Well,Mkuu huyu bwana ahajasema km anashida ya lugha inaonekana ameelewa vema. Kama kuna shida tutasaidiana.
 
Utapona kaka. Ukienda hospitali huwa unajieleza vizuri? Usione aibu kusema ili upate dozi sahihi. Nenda pale Regency watakupima kila kitu nina imani ugonjwa wako utapona tu.
 
Mpaka ufe ndio utapona... una dhani sifa eee...

asante kwa mchango wako siyo kwamba nilikuwa nadhani sifa bali nilikuwa nashindwa kujizuia ila kwasasa nadhani hata akili imebadilika na ninamuda mrefu sasa sijafanya na nimeweza namuomba mungu anisaidie na namatumaini kuwa nitapona na nitatulia kwenye ndoa yangu.usiombe yakukute mkuu
 
Kuna mbwa wangu akisikia hata harufu ya kiatu tu basi atakirarua na usikitamani sasa bwashee huyu dogi sijui ange kuona angekufanya nini???
Kama hata pafyum ime dunda!we
kaishi porini na Nyani tu!

Mhhhhhh!
 
asante kwa mchango wako siyo kwamba nilikuwa nadhani sifa bali nilikuwa nashindwa kujizuia ila kwasasa nadhani hata akili imebadilika na ninamuda mrefu sasa sijafanya na nimeweza namuomba mungu anisaidie na namatumaini kuwa nitapona na nitatulia kwenye ndoa yangu.usiombe yakukute mkuu

I believe in changes, Hope God will help you. utapona
 
Wadau habari zenu
Naombeni dawa ya kikwapa!!
Kikwapa changu kinatema mbayaaa...mpaka aibu
Haswa napotembeana sana ama wakati joto kali.
Naombeni tiba plizzz...
 
jaribu kunywa maji mengi angalau lita 3 hadi 4 kwa siku kisha fanya mazoezi ya kukimbia kila mara au badala ya kutembea kwa miguu nunua baiskeli endesha nyakati za jioni angalau maili 10 kwa siku.
Hii maili 10 ni kama saa1 ya mazoezi ya kawaida

Punguza mawazo(stress) kwani hili nalo linaweza kuchangia mwili wako kutofanya kazi vizuri na kuongeza tatizo lingine kama la kunuka mdomo,mkojo kuwa na harufu kali,kuzorota kwa afya yako n.k

Haya yote ni bure kabisa lakini pia unaweza nunua vikorombwezo vya dukani wakati unaendelea na dozi yako ya maji na mazoezi.

Pia kama una gym karibu yenye sauna au stimu rumu nenda kakae stimu rumu ni nzuri kwa kufungua matundu ya ngozi.
 
Wadau habari zenu
Naombeni dawa ya kikwapa!!
Kikwapa changu kinatema mbayaaa...mpaka aibu
Haswa napotembeana sana ama wakati joto kali.
Naombeni tiba plizzz...


Mkuu tumia ukoko wa ugali,, ukimaliza kuondoa ugali kwenye sufuria tia maji kdogo sana ili ule ukoko ulainike vizuri, then chukua ule ukoko unasugulia kwapani ni dawa nzuri sana ilishamsaidia mdogo wangu, baada ya cku 3 hautakaa ukisikie tena kikwapa halafu unywe maji ya kutosha
 
Mkuu tumia ukoko wa ugali,, ukimaliza kuondoa ugali kwenye sufuria tia maji kdogo sana ili ule ukoko ulainike vizuri, then chukua ule ukoko unasugulia kwapani ni dawa nzuri sana ilishamsaidia mdogo wangu, baada ya cku 3 hautakaa ukisikie tena kikwapa halafu unywe maji ya kutosha

aiseeeeeeee babaangu makubwa nadogo yananafuu kumbe ukoko wa ugali ni wada mimi sikufahamu huwa nikimaliza kula ugali ukoko nawapa kuku kwanzia leo nauifadhi
 
wadau habari zenu
naombeni dawa ya kikwapa!!
Kikwapa changu kinatema mbayaaa...mpaka aibu
haswa napotembeana sana ama wakati joto kali.
Naombeni tiba plizzz...

kwanza tafuta tiba za fungus ya kwenye damu, ogea sabuni za dawa, tumia dawa za fungus za kupaka. Koga mara tatu kwa siku au zaidi
 
jaribu kunywa maji mengi angalau lita 3 hadi 4 kwa siku kisha fanya mazoezi ya kukimbia kila mara au badala ya kutembea kwa miguu nunua baiskeli endesha nyakati za jioni angalau maili 10 kwa siku.
Hii maili 10 ni kama saa1 ya mazoezi ya kawaida

Punguza mawazo(stress) kwani hili nalo linaweza kuchangia mwili wako kutofanya kazi vizuri na kuongeza tatizo lingine kama la kunuka mdomo,mkojo kuwa na harufu kali,kuzorota kwa afya yako n.k

Haya yote ni bure kabisa lakini pia unaweza nunua vikorombwezo vya dukani wakati unaendelea na dozi yako ya maji na mazoezi.

Pia kama una gym karibu yenye sauna au stimu rumu nenda kakae stimu rumu ni nzuri kwa kufungua matundu ya ngozi.

yaani hapa prince pepe amemamliza kila kitu. kunuka kwapa kunaendana na kua na jasho lenye harufu kali, au mkojo kutoa harufu kali. yote hii inatokana na kuzorota kwa mfumo wa taka mwili katika mwili wako. sasa kwasababu ya concentration ya hizo taka mwili ndo maana harufu inakuwa kali. ukitaka kuprove hii, angalia mkojo wako ni upi unakuwa na harufu zaidi, ule unaoelekea kwenye weupe au ule wa kahawia?! mkojo unavyozidi kuwa wa kahawia ndivyo unavyozidi kuwa na harufu.
so the same kwa jasho, unavyozidi kuwa na takamwili nyingi, concentration katika jasho inaongezeka na ndiyo na harufu inakuwa kali. asikwambie mtu!!! perfumes siyo dawa hata kidogo, dawa ni kubadili mfumo wa maisha yako, sasa zingatia mambo matatu yafuatayo
1. kunywa maji ya kutosha kwa siku, na usinywe maji mengi, zaidi ya nusu lita kwa mara moja!!!! hapana, kunywa walau glasi nane za maji sawa na lita mbili kwa siku, zigawe vizuri tu ili uhakikishe kuwa zinatimia kwa siku moja
2. fanya mazoezi ya kutosha yatakayo hakikisha unatoka jasho la kutosha ili taka mwili ziishe, kumbuka kwenye mfano wetu wa mkojo, kadri mkojo unavyokuwa clear ndivyo na harufu inavyopungua
3. angalia msosi unaotupia, vyakula vyenye asidi (uric acid) na jamii ya nyama husababisha taka mwili nyingi. ndo maana kwa mfano mkojo au jasho la mlevi linanuka vibaya sana. so kula matunda na mbogamboga za kutosha. hizi ni bora sana kuliko nyama na bia

after 3 to 5 dys lete majibu. trust me hii kitu ni nzuri na ya kweli, mi binafsi imenisaidia sana, na wengine nilowashauri wakazingatia imewafaa saana

akido
 
Wakati unasubili kupata tiba mimi nakupa tiba ya kukabiliana na harufu ya hicho kikwapa, hivi unapoona dukani pafyumu zinauzwa unajuwa kazi yake? unajuwa hata Deodorant ni nini?
 
kunywa maji mengi,ni vyema kupunguza vijinywele vya maeneo hayo mara nyingi,ukishanyoa weka limao/maji ya limao inasaidia upesi...........
 
Back
Top Bottom