Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Wakuu heshima kwenu.
Last week niliumwa malaria na kama ilivyo ada kwa sisi waafirika malaria ni sehemu ya maisha.nilimeza dawa na doze ikaisha na sasa nimepona kabisa ila sasa nimeshajaribu ku sex na mke wangu mara mbili nikawa nakojoa dadika tu na hapo mdudu analala fofofo.
sasa amekataa kufanya hadi niwe sawa.ila sio siri mwili hauna nguvu na hata hamu ya mapenzi sina na si kawaida yangu kabisa, sijui nifanye nini au nile nini nguvu zirudi.
Msaada kwenu
cc : Mzizi Mkavu
Last week niliumwa malaria na kama ilivyo ada kwa sisi waafirika malaria ni sehemu ya maisha.nilimeza dawa na doze ikaisha na sasa nimepona kabisa ila sasa nimeshajaribu ku sex na mke wangu mara mbili nikawa nakojoa dadika tu na hapo mdudu analala fofofo.
sasa amekataa kufanya hadi niwe sawa.ila sio siri mwili hauna nguvu na hata hamu ya mapenzi sina na si kawaida yangu kabisa, sijui nifanye nini au nile nini nguvu zirudi.
Msaada kwenu
cc : Mzizi Mkavu
Last edited by a moderator: