Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 896
Habari Wakuu,
kwa zaidi ya mwezi sasa nimekuwa nikipata tatizo la
1.mwili kuchoka sana kusiko kwa kawaida
2.maumivu makali ya mgongo
Hapo zamani nlikuwa mtu wa kufanya mazoezi,nliacha mazoezi sababu ya kuskia mavumivu kwenye miguu hasa nikiwa nakimbia.Nikiwa katika kutembea nakuwa sawa kabisa/Very Normal,ila baada ya kukimbia umbali mkubwa kama 7-10Km kwa siku 3/4 kuendelea basi miguu huanza kuniuma na kupelekea kuacha mazoezi
Nikiri kuwa nina weight kubwa kuliko BMI yangu (iko kwenye overweight).Lakini tatizo hili la mgongo kuuma sana na mwili kuchoka mno limeanza zaidi ya mwezi sasa Na katika kipindi hiki sijaongezeka uzito
Urefu 177cm
uzito 93Kg
Naomba msaada/ushauri zaidi wa kiafya
kwa zaidi ya mwezi sasa nimekuwa nikipata tatizo la
1.mwili kuchoka sana kusiko kwa kawaida
2.maumivu makali ya mgongo
Hapo zamani nlikuwa mtu wa kufanya mazoezi,nliacha mazoezi sababu ya kuskia mavumivu kwenye miguu hasa nikiwa nakimbia.Nikiwa katika kutembea nakuwa sawa kabisa/Very Normal,ila baada ya kukimbia umbali mkubwa kama 7-10Km kwa siku 3/4 kuendelea basi miguu huanza kuniuma na kupelekea kuacha mazoezi
Nikiri kuwa nina weight kubwa kuliko BMI yangu (iko kwenye overweight).Lakini tatizo hili la mgongo kuuma sana na mwili kuchoka mno limeanza zaidi ya mwezi sasa Na katika kipindi hiki sijaongezeka uzito
Urefu 177cm
uzito 93Kg
Naomba msaada/ushauri zaidi wa kiafya