Mwigulu unatuaibisha products za Mlimani...!

Oti Kate

Member
Dec 20, 2011
58
59
Wana JF

Kwa kweli huyu mwigulu anatuaibisha sana sisi wote ambao tumesoma chuo kikuu sehemu ya mlimani. Niliposikia kwa mara ya kwanza akijisifu kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kutokea mlimani then BoT, nilisema ayamkini kijana
ameteleza ulimi, so sikutegemea kusikia tena akijinasibu kwa maneno hayo!

Cha ajabu jana akiwa TBC katika mdahalo, alirudia maneno hayo tena na zaidi. Sasa wewe Mheshimiwa (wa kuiba wake za watu) wach huo utoto, hayo mambo ya kijisifia elimu na uwezo wako, hebu waachie watoto wa std. 7 na form one, wewe angalia nini wana-Iramba magharibi wamekutuma au wamekosa kule jimboni ili uwawakilishie kwa wahusika hapo mjengoni.

Kama kila mtu angeamua kujisifu hapo bungeni kuhusu shule yake, nadhani muda wa bunge la bajeti usingetosha......kumbuka kuna maprofesa humo humo ndani ya CCM ingawa Mchungaji Msingwa alituthibitishia kuwa wanafikiri kama watoto wa darasa la pili, lakini kumbuka wameenda shule.

Hebu wacha huo utoto, fanya kilichokupeleka bungeni........................unatuabisha wenzako tuliopitia mlimani, tutaonekana kichwa maji kaka wewe!
 
Hivi kuna product ya Mlimani iliyopo CCM? Hao ni wale ma-papet tu. Leo bajeti yetu inalingana na ya Ruanda, halafu graduate uko CCM? Huu ni usaliti kwa waTanganyika.
 
Huyu jamaa kwa kweli nimemshangaa sana, anakuwa kama mtoto mdogo kabisa, hata kama wameambiwa waiteteee bajeti kwa namna yoyote. Na hakuna mahali aliponikera kama alipoitupa bajeti ya kambi ya upinzani. Yeye asome alama za nyakati na aendelee kuwalamba miguu wakubwa zake ila ipo siku ataumbuka.
 
Wana JF

Kwa kweli huyu mwigulu anatuaibisha sana sisi wote ambao tumesoma chuo kikuu sehemu ya mlimani. Niliposikia kwa mara ya kwanza akijisifu kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kutokea mlimani then BoT, nilisema ayamkini kijana
ameteleza ulimi, so sikutegemea kusikia tena akijinasibu kwa maneno hayo!

Cha ajabu jana akiwa TBC katika mdahalo, alirudia maneno hayo tena na zaidi. Sasa wewe Mheshimiwa (wa kuiba wake za watu) wach huo utoto, hayo mambo ya kijisifia elimu na uwezo wako, hebu waachie watoto wa std. 7 na form one, wewe angalia nini wana-Iramba magharibi wamekutuma au wamekosa kule jimboni ili uwawakilishie kwa wahusika hapo mjengoni.

Kama kila mtu angeamua kujisifu hapo bungeni kuhusu shule yake, nadhani muda wa bunge la bajeti usingetosha......kumbuka kuna maprofesa humo humo ndani ya CCM ingawa Mchungaji Msingwa alituthibitishia kuwa wanafikiri kama watoto wa darasa la pili, lakini kumbuka wameenda shule.

Hebu wacha huo utoto, fanya kilichokupeleka bungeni........................unatuabisha wenzako tuliopitia mlimani, tutaonekana kichwa maji kaka wewe!

Angekuwa ni CHADEMA mwenzenu mngejiunga wote kumpa shavu. Kwani TUNDU LISU kila siku anapojisifia hamuoni wala hamskii??? Na wewe umepata wapi legitimacy ya kuwasemea waliopita UDSM? Kwa hoja hii uliyoijenga hapa, nashawishika kuamini wewe ulikuwa mtunza bustani hapo UDSM. Unaboa sana
 
Watu kama kina Mwigulu nchemba kule usukumani wanaajiriwa kama wachunga ng'ombe.kazi yao ni kupeleka ng'ombe Lubaga maana yake ni kupeleka ng'ombe porini ambako kuna marisho ya kutosha.Nchemba analijua hilo.
 
Sasa na ako kadegree kake kama angesoma Harvard na kufanya kazi IMF AU WORLD BANK naona angeamulu bunge zima walale chini apite juu yao!
He is so myopic I never imagined msomi angeweza tamka maneno hayo!
Nchi ina matatizo makubwa ya msingi kama kuongezeka kwa deni,inflation,reliance on sigara and beer for increased revenue,
Sasa serikali wametenga 35% ya dvt expenditure based on donor money sasa wakisema kubalini ucameroun otherwise hatuwapi ela si miradi itakwama.
Sasa Mwigulu badala ya kupigani iyo ela itokane na fedha za ndani anashupalia yeye nii first class economist!
Sisi wa darasa la 2004 umetudhalilisha!
 
Guys hivi anavyosema mchumi daraja la kwanza ina maana first class au ni cheo cha huko BOT alikokuwa. ninavyojua kama umeajiliwa especialy serikalini kuna aina hiyo ya vyeo, kama ni mchumi toka chuo na kadegree kako basi unaanza na dalaja la pili, then baadaye unapandishwa kuwa mchumi daraja la kwanza, then unakuwa mchumi mwandamizi mpaka mwandamizi mkuu kama sikosei. huyu jamaa sidhani kama alipata kweli first class mbona kama hajui chochote ni kama mzee DHAIFU tu
 
Hivi kuna product ya Mlimani iliyopo CCM? Hao ni wale ma-papet tu. Leo bajeti yetu inalingana na ya Ruanda, halafu graduate uko CCM? Huu ni usaliti kwa waTanganyika.

Umenifurahisha ulivyoiandika "waTanganyika"
 
mwigulu ni kichaa hana akili kbs,anaongea km yuko ukumbi wa taharabu anarusha bajet wananyamaza ila wa chadema angerusha wangeomba mwongozo,akili yao sawa na mropokaji Rusinde,ccm wamewekeza kwa waimba taharabu,
 
Tena atakuwa awawazalilisha zaidi watu wa UD ambao bado wapo NyinyiEM
 
Sasa na ako kadegree kake kama angesoma Harvard na kufanya kazi IMF AU WORLD BANK naona angeamulu bunge zima walale chini apite juu yao!
He is so myopic I never imagined msomi angeweza tamka maneno hayo!
Nchi ina matatizo makubwa ya msingi kama kuongezeka kwa deni,inflation,reliance on sigara and beer for increased revenue,
Sasa serikali wametenga 35% ya dvt expenditure based on donor money sasa wakisema kubalini ucameroun otherwise hatuwapi ela si miradi itakwama.
Sasa Mwigulu badala ya kupigani iyo ela itokane na fedha za ndani anashupalia yeye nii first class economist!
Sisi wa darasa la 2004 umetudhalilisha![/QUOTE

Wivu tu, nyie mlipata PASS ndo maana mmechafukwa na roho. Jinyongeni kbs, sio mnamsakama Mhasibu wetu. Mnaboa sana
 
Wana JF

Kwa kweli huyu mwigulu anatuaibisha sana sisi wote ambao tumesoma chuo kikuu sehemu ya mlimani. Niliposikia kwa mara ya kwanza akijisifu kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kutokea mlimani then BoT, nilisema ayamkini kijana
ameteleza ulimi, so sikutegemea kusikia tena akijinasibu kwa maneno hayo!

Cha ajabu jana akiwa TBC katika mdahalo, alirudia maneno hayo tena na zaidi. Sasa wewe Mheshimiwa (wa kuiba wake za watu) wach huo utoto, hayo mambo ya kijisifia elimu na uwezo wako, hebu waachie watoto wa std. 7 na form one, wewe angalia nini wana-Iramba magharibi wamekutuma au wamekosa kule jimboni ili uwawakilishie kwa wahusika hapo mjengoni.

Kama kila mtu angeamua kujisifu hapo bungeni kuhusu shule yake, nadhani muda wa bunge la bajeti usingetosha......kumbuka kuna maprofesa humo humo ndani ya CCM ingawa Mchungaji Msingwa alituthibitishia kuwa wanafikiri kama watoto wa darasa la pili, lakini kumbuka wameenda shule.

Hebu wacha huo utoto, fanya kilichokupeleka bungeni........................unatuabisha wenzako tuliopitia mlimani, tutaonekana kichwa maji kaka wewe!

Kuna Watu walitembelewa na M4C wakaamua kuwanunulia wananchi wao Vazi la mwisho baada ya safari ya Hapa duniani!! Badala ya kununua Hata Madawa kwenye Hospitali za Serekali!! Mimi nashauri kwa watu Kama Mwigulu Inatakiwa M4C ipige Kambi kidogo kwenye Jimbo lake na pia aanze Kuona kama safari ya siasa Katika maisha Yake imefika ukingoni / Kikomo!! Ni hatari sana kwa mbunge wa jimbo kushindwa kuwatetea wananchi waliomtuma na kuanza propaganda Mufilisi!!
 
mbona na mimi nina first class gpa ya uhasibu na wenzangu kama kumi hivi!it's no big deal!nchemba alikuwa mchumi daraja la kwanza na sidhani kama ni gpa
 
Kuna Watu walitembelewa na M4C wakaamua kuwanunulia wananchi wao Vazi la mwisho baada ya safari ya Hapa duniani!! Badala ya kununua Hata Madawa kwenye Hospitali za Serekali!! Mimi nashauri kwa watu Kama Mwigulu Inatakiwa M4C ipige Kambi kidogo kwenye Jimbo lake na pia aanze Kuona kama safari ya siasa Katika maisha Yake imefika ukingoni / Kikomo!! Ni hatari sana kwa mbunge wa jimbo kushindwa kuwatetea wananchi waliomtuma na kuanza propaganda Mufilisi!!

Mtakaa sana. M4C kwenu hukohuko. Mnaumwa na nini nyie chadema lakini??
 
Wakuu kuanzisha thread nyingi zinazohusiana na (chemba)tunakosea,kz yake chema ni kupitisha uchafu.SASA KUNA ASIYEJUA?
 
Wakuu kuanzisha thread nyingi zinazohusiana na (chemba)tunakosea,kz ya chemba ni kupitisha uchafu tu.SASA KUNA ASIYEJUA?
 
Wana JF

Kwa kweli huyu mwigulu anatuaibisha sana sisi wote ambao tumesoma chuo kikuu sehemu ya mlimani. Niliposikia kwa mara ya kwanza akijisifu kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kutokea mlimani then BoT, nilisema ayamkini kijana
ameteleza ulimi, so sikutegemea kusikia tena akijinasibu kwa maneno hayo!

Cha ajabu jana akiwa TBC katika mdahalo, alirudia maneno hayo tena na zaidi. Sasa wewe Mheshimiwa (wa kuiba wake za watu) wach huo utoto, hayo mambo ya kijisifia elimu na uwezo wako, hebu waachie watoto wa std. 7 na form one, wewe angalia nini wana-Iramba magharibi wamekutuma au wamekosa kule jimboni ili uwawakilishie kwa wahusika hapo mjengoni.

Kama kila mtu angeamua kujisifu hapo bungeni kuhusu shule yake, nadhani muda wa bunge la bajeti usingetosha......kumbuka kuna maprofesa humo humo ndani ya CCM ingawa Mchungaji Msingwa alituthibitishia kuwa wanafikiri kama watoto wa darasa la pili, lakini kumbuka wameenda shule.

Hebu wacha huo utoto, fanya kilichokupeleka bungeni........................unatuabisha wenzako tuliopitia mlimani, tutaonekana kichwa maji kaka wewe!

Unajua kuna kitu kinaitwa elimu na kuna kitu kinaitwa IQ. Unaweza kuwa na elimu kubwa lakini IQ yako ndoooooogo kabisa. Ndiyo maana huyo anayejiita mchumi daraja la kwanza anafananishwa na mtoto wa darasa la pili kwa sababu IQ yake ni sawa na mtoto wa darasa la pili
 
Angekuwa ni CHADEMA mwenzenu mngejiunga wote kumpa shavu. Kwani TUNDU LISU kila siku anapojisifia hamuoni wala hamskii??? Na wewe umepata wapi legitimacy ya kuwasemea waliopita UDSM? Kwa hoja hii uliyoijenga hapa, nashawishika kuamini wewe ulikuwa mtunza bustani hapo UDSM. Unaboa sana


Wewe ni miongoni mwa wale walamba miguu ya wakubwa ili mdondoshewe chochote,inawezekana Mwigulu alikua na hoja ila jinsi alivyokua akijisifia elimu yake ilitosha kwa mtu mwenye akili timamu kumdharau.Wapo ma prof wengi tu wala wajisifii elimu yao,haya ya kujisifia elimu inafanywa na wanafunzi wa kidato cha nne.
 
Naanza na nakuu hii," Ni bora ukae kimya watu wakadhani wewe ni mjinga kuliko kuongea na kudhihirisha fikra zao"
Alianza Nape, Wassira, Lusinde sasa Nchemba kweli siasa inafanya tuprove uwezo wa watu kufikiri
 
Back
Top Bottom