Mwigulu: Tozo za miamala siyo mpya ni zilezile mlizokuwa mnaziita "Tuma na ya Kutolea" nashangaa mlivyo wasahaulifu

Uzuri ni kuwa hizi tozo zitakula kwa Mwigulu na ambao wameziridhia wakiwamo zandrano Jumbe Brown (mjumbe machachari kutokea pande za pale makunduchi) na binamu zao.
🤣🤣
Hayati JF Kennedy alisema "utaifanyia nini Marekani na si Marekani itakufanyia nini"....

Tozo ni kwa ajili ya MAENDELEO ya watanzania wote.....

Nimeridhia kukatwa.....

Karibu Makunduchi tuchokoe "pweza" mwambani.....
 
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema Tozo za miamala siyo kitu kipya sema tu wananchi ni wasahaulifu.

" Nyie hamjawahi kupaa Meseji inayosema ' tuma na ya kutolea'?" Dr Mwigullu amewauliza waandishi wa habari

Sasa hiyo Tuma na ya kutolea ina tofauti gani na tozo? amehoji

Source: ITV habari
Huyu aache kuwapa watu kichefu chefu. Hivi anajiona yeye ndio bora zaidi kuliko wengine? Muda utaongea.
 
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema Tozo za miamala siyo kitu kipya sema tu wananchi ni wasahaulifu.

" Nyie hamjawahi kupaa Meseji inayosema ' tuma na ya kutolea'?" Dr Mwigullu amewauliza waandishi wa habari

Sasa hiyo Tuma na ya kutolea ina tofauti gani na tozo? amehoji

Source: ITV habari
Aache kudanganya, hiyo tuma ya kutolea ni yale makato yanayotozwa na makampuni ya simu na mawakala wao.......hakujawahi kuwa na tozo ya uzalendo kwenye hayo makato, hii wameiweka kiwiziwizi.....
 
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema Tozo za miamala siyo kitu kipya sema tu wananchi ni wasahaulifu.

" Nyie hamjawahi kupaa Meseji inayosema ' tuma na ya kutolea'?" Dr Mwigullu amewauliza waandishi wa habari

Sasa hiyo Tuma na ya kutolea ina tofauti gani na tozo? amehoji

Source: ITV habari
Kww hiyo siku hizi tunatuma na ya kutolea mara 2
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom