Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,192
- 4,105
Taifa lipo kwenye Msiba wa viongozi wetu ambao wametangulia mbele za haki kwa Mapenzi yake Mungu, Kumetokea tabia mbaya ya kuzushiana, (Na fulani anaumwa, na fulani naye anaumwa.
Mara nasikia fulani amekufa na fulani naye amekufa), Huku ni kukosa UTU, ni kuathiri maisha Binafsi ya mtu, Familia yake na kusababisha TAHARUKI kwenye Jamii.
Kifungu cha 16 cha Sheria ya Mitandao kinazuia watu kutoa taarifa za uongo. Nimeelekeza vyombo vyote husika kuchukua hatua bila kusubiri mtu binafsi akalalamike.
Nani amekupa kazi ya kufuatilia afya za wengine na kuwa msemaji wa hali zao?
TUACHE TABIA HII MARA MOJA.
Mwigulu Nchemba
Waziri katiba na sheria
Mara nasikia fulani amekufa na fulani naye amekufa), Huku ni kukosa UTU, ni kuathiri maisha Binafsi ya mtu, Familia yake na kusababisha TAHARUKI kwenye Jamii.
Kifungu cha 16 cha Sheria ya Mitandao kinazuia watu kutoa taarifa za uongo. Nimeelekeza vyombo vyote husika kuchukua hatua bila kusubiri mtu binafsi akalalamike.
Nani amekupa kazi ya kufuatilia afya za wengine na kuwa msemaji wa hali zao?
TUACHE TABIA HII MARA MOJA.
Mwigulu Nchemba
Waziri katiba na sheria