Haimaanishi kila mwenye mamlaka.Nimempoteza mama angu mzazi inaniuma sana Ila kwa sababu hata biblia inasema waheshimuni wenye mamlaka ngoja nikae kimya tu
Urais ni zamu ya waislamu labda abadili dini!Huyu naye kazidi kujipendekeza..halafu utakuja shangaa naye eti anautaka U-Rais....
Mungu atuepushe na watu wa aina hii!
Aho Lelo!(Hapo Sasa)Waliotudanganya Covid 19 hakuna wachukuliwe hatua wao kwanza.