kibaizi kiki
Senior Member
- Dec 23, 2012
- 160
- 38
Jk anaizika hii nchi kwa mikono yake mwenyewe na hii itamrudia siku moja
Hawa wateuliwa wameanza kujishtukia, leo katika gazeti la Nipashe nimesoma wameanza kukanusha.
Waliteuliwa juzi, wakaapishwa jana, leo wakaanza utetezi. Je umepima mtiririko ma matukio? Wameamua
Ukweli, kama watasaliti wateuzi wao, utabaki pale pale. 1. Migiro - kuhujumu mchakato wa Katiba Mpya ili, au muundo wa serikali mbili urudi, ikishindikana, muundo wa serikali tatu ukose theluthi mbili ya kura kwenye Bunge la Katiba. Kisha CCM kuendela kubaki madarakani. 2. Nchemba - kukusanya fedha kwa njia zozote zile kwa ajili ya CCM - kuwahonga wapiga kura. Time will tell. Ila, dalili ya mvua ......
Wewe ina frustration na wivu wa kike tu.
Bado sijaamini kwamba Mwingulu na Malima ndio Manaibu wa Wizara ya Fedha.Huenda J.K.akatangaza Manaibu wiki ijayo.
Ni hivi mkuu, huwo mzaha wanaotaka kuufanya utawagharimu, kwasasa tulipofika hakuna mpuuzi yeyote yule mwenye cheo chochote kile atakayeweza kutumia eti mamlaka yake kuendelea kuwakandamiza watanzania, sikilizia operesheni#PAMOJA DAIMA (CHADEMA) then mtu aingie kichwa kichwa....
Huyu mama alipoondoka nchi Tanzania nadhani alikuwa hajaijua Chadema vizuri ndiyo maana akaingia mkenge... sasa tunaenda kimuonyesha nini maana ya nguvu ya umma na hicho wanachotaka kukifanya, sasa kama yeye alikuwa ni mtu wa kuambia tu nadhani anawajibu wa kuona kwasasa kazi ya operesheni hii kisha apeleke ripoti kwa boss wake kuwa uchakachuaji umeshindikana....
WATATUPUUZA LEO, WATATUHITAJI KESHO
Kama Nchemba ana ubongo wa kuku basi aliyemteua hana ubongo kabisa. Poleni sana Wadanganyika.Hawa wateule wataleta janga hapa nchini zaidi ya lille la "Hiroshima" kule Japan wakati wa vita kuu ya pili ya dunia! Tuchukue tahadhari.
Wewe ina frustration na wivu wa kike tu.
Simply krap... ila unajitahidi kuota mchana!
Asante Mkuu, kumbe ndivyo ilivyo, basi kumbe hatuna sababu ya kushangaa teuzi mbalimbali maana kumbe mfumo wa vyama vingi Usalama wa Taifa hawahusiki kabisa. Looh, inasikitisha saana, sitoshangaa siku moja tukaona watu tusiowafahamu wakashika nyadhifa muhimu katika nchi. Kutohusisha Usalama wa Taifa katika teuzi hakika ni kujimaliza wenyewe, kumbe mfumo wa vyama vingi unalegezasana mambo muhimu. Asante kwa kunielewesha Mkuu.Siku hizo ilikuwa sahihi. Siasa za chama kimoja hizo. Siasa za ushindani hazina tabia hiyo
Zamani baba yangu alipokuwa katika "System" alinisimulia kuwa teuzi zote za viongozi Mwalimu alikuwa anazifanya kupitia ushauri wa Usalama wa Taifa na alihakikisha kuwa anapata mtu anayeaminika walau mbele ya jamii, sasa sijui siku hizi kama bado hilo lipo ama ni teuzi zinafanywa na team inayoshilikisha Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Kama Usalama wa Taifa hawahusiki katika hili, basi ni hatari maana anaweza akaingia mtu asiye na sifa. Ama siku hizi teuzi zinafanyika kwa ushauri wa chama?
Hivi ni kweli Mwigulu
alifumaniwa na mke wa mtu Igunga?. Soma hii:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kigogo-wa-ccm-afumaniwa-na-mke-wa-mtu-3.html
hadi mwili unasisimuka haya kweli masiharaBado sijaamini kwamba Mwingulu na Malima ndio Manaibu wa Wizara ya Fedha.Huenda J.K.akatangaza Manaibu wiki ijayo.