Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,327
- 13,636
Jamaa anaenda na upepo wa aliye madarakani. Hana msimamo na haeleweki.Mwigulu Nchemba huyu huy ndio kabadilika tena, si ndio alisema mazingira ya biasashara ni mazuri sana Tanzania? kwahio nini msimamo wa Mwigulu kwa sasa?