Mwigulu Nchemba: Uchumi wa Tanzania umekua licha ya mlipuko wa COVID-19. Deni la Serikali ni himilivu

Mei mosi 2021 uchumi umepungua toka 7%-4% sababu athar za covid-19 ,june 8, 2021 uchumi umeongezeka licha ya covid-19. Wanasiasa wanavyotupigaga chenga ni kwenye uongo.
 
Deni limefikaje hapo,wakati mwendazake alikuwa anasema,

Sisi ni matajiri ,miradi yote inatekelezwa kwa fedha za ndani,hatujipi kwa MABEBERU.
 
Deni limefikaje hapo,wakati mwendazake alikuwa anasema,

Sisi ni matajiri ,miradi yote inatekelezwa kwa fedha za ndani,hatujipi kwa MABEBERU.
Mwendazake tumuache tuu aendee, najiuliza bajeti angeiandika Mpango, nna uhakika angeandika serikali haina deni bali tunawadai mabeberu!😂😂😂

Bado Sabufaa kushangaa tunadaiwa.

Bongo sihamiiiiii

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Unashukaga inategemea tunataka nini na tunaongea na nani ?

Mfano, Wanasema uchumi wetu ni imara na unakuwa kwa kasi kwasababu hatujaathirika na CORONA lakini Mabeberu wakitoa package ya mkopo nafuu kwaajili ya nchi zilizoathirika na CORONA na sisi tunataka
Mwenda zake mlimuona mpuuzi
Alitaka kuwa kama mabeberu Wana nia njema ya kutusaidia ni bora wakasamehe madeni ambayo kimsingi nchi za kiafrika zinadaiwa na WB, IMF na mashirika mengine Duniani ili angalau badala ya kulipa hayo madeni nchi maskini Daiwa zitumie pesa hizo kupambana na Corona badala ya kuendelea kukopeshwa na madeni kuwa makubwa zaidi

Sasa naona Samia anakazana kuvaa mabarakoa ili halisi bongo hatujui ata kama kuna Corona tena,
Anafanya hivyo maksudi apate msaada wa kuendesha nchi kwani kukusanya kodi kumemshinda kabisa

Vyuo vikuu fedha ya kujikimu wanafunzi kupolomoka kutoka 500k adi 300k
Hii dalili tosha kuwa serikali imeanza kufilisika na haijiwezi tena

Hii elimu Bure ni suala la muda tu

Hii ngoma aliweza mwenyewe tu mzee baba
Hawa wengine ni shobo tu

Upole wa mama ni chanzo Cha kurudi kwa mabeberu n
Kutembeza bakuri kuomba kuchangiwa kodi za wazungu, sisi kodi zetu zimetushinda

Kutofautiana kwa maelezo ya Mwigulu na Mama si mara ya kwanza
Hata Mei mosi tuliona kwa naibu waziri tamisemi jinsi alivyo amsha molali kwa wafanya kazi kuwa huenda wangeongezewa salary lakn bahati mbaya akawajibu majibu yale

Mama Anafanya kwa kukurupuka haulizi kwa watendaji wake nini uhalisia wa vibubu vyao

Kuna fukto huko la mgomo kwa madume nadhani

Ni sawa na yule mkurugenzi wa TmK alivyoshupaza shingo kwa Meya
Ndivyo shingo ya mama nadhani a navyo shupaza kushadadia vitu asivyo viweza

Ndio maana hakuna taarifa yakinifu za kazi za makamu kutumika kwake awamu hii

Juzi Sijui jana kaonekana Burundi ila hakuna taarifa rasmi dhidi ya shughuli iliyo mpeleka huko Makamu,
Shughuli za kumwakilisha Rais nje hutolewa maelezo kwa umma
Badala yake kwa sasa mwakilishi wa Rais nje ni Mwinyi kutoka zanzibar

Kuna sintofahamu kabisa
Mpango hana furaha kabisa yaan
 
Back
Top Bottom