beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema licha ya mlipuko wa COVID19, Tanzania ni miongoni mwa Nchi chache zilizokuwa na ukuaji wa Uchumi chanya kwa mwaka 2020.
Amesema Pato la Taifa la Tanzania lilikua kwa 4.8% na sekta zilizochangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji ni Ujenzi, Habari na Mawasiliano, Uchukuzi na Uhifadhi wa Mizigo, Huduma zinazohusiana na Utawala, Madini na mawe, Afya na huduma za Jamii
DENI LA SERIKALI LIMEFIKIA TRILIONI 60.9, NI HIMILIVU
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2021, Deni la Serikali lilikuwa Trilioni 60.9 ambapo kati ya kiasi hicho, Deni la Nje ni Trilioni 43.7 na la Ndani ni Trilioni 17.3. Deni linatokana na kupokelewa Fedha za Mikopo kwa ajili ya kugharamia Miradi ya Maendeleo
Imeelezwa, Deni ni himilivu katika kipindi cha muda mfupi, wa kati na mrefu kwa kuzingatia ukomo wa viashiria vyote vinavyokubalika Kimataifa
PIA, SOMA=> Bungeni, Dodoma: Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kusoma bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2021/22
Amesema Pato la Taifa la Tanzania lilikua kwa 4.8% na sekta zilizochangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji ni Ujenzi, Habari na Mawasiliano, Uchukuzi na Uhifadhi wa Mizigo, Huduma zinazohusiana na Utawala, Madini na mawe, Afya na huduma za Jamii
DENI LA SERIKALI LIMEFIKIA TRILIONI 60.9, NI HIMILIVU
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2021, Deni la Serikali lilikuwa Trilioni 60.9 ambapo kati ya kiasi hicho, Deni la Nje ni Trilioni 43.7 na la Ndani ni Trilioni 17.3. Deni linatokana na kupokelewa Fedha za Mikopo kwa ajili ya kugharamia Miradi ya Maendeleo
Imeelezwa, Deni ni himilivu katika kipindi cha muda mfupi, wa kati na mrefu kwa kuzingatia ukomo wa viashiria vyote vinavyokubalika Kimataifa
PIA, SOMA=> Bungeni, Dodoma: Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kusoma bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2021/22