minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Wafanyabiashara wengi hasa wakubwa wamehamishia biashara zao Nchi Jirani hata pesa zao nyingi hawaziweki kwenye mabenk ya Tanzania ambayo hayapo huru yanaingiliwa na TRA bila kikwazo, wafanyabiashara wengi hawana imani na mabenk ya Tanzania sasaNalifikiria kwa makini,
Tanzania huwa hatuko na ujasiri wa kuhama, tunaona waethiopia wengi sana wakihamia South Afrika.
Tutajaribu nchi za karibu, Zambia Malawi na Kenya.