makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Nimesikia habari za Bwana Mwigulu Nchemba jinsi alivyosimama na kutetea Bajeti ya kipuuzi ya Serikali ya CCM huku akiiponda na kuitukana Bajeti Mbadala ya Wapinzani. Mwigulu Nchema alitamba na kusema Bajeti ya Wapinzani ni takataka na akafikia mahali pa kukitupa chini kitabu cha Bajeti ya Upinzani akidai kuwa Freeman Mbowe anawadanganya Watanzania!
Bwana Mwigulu Nchemba akiongea kwa mipasho kama anayoitumia kwenye Kampeni zake za CCM alitamba kuwa yeye ni msomi na mchumi wa Daraja la 1 toka BOT kwa hiyo anajua sana Uchumi na kwa maana hiyo anaijua Bajeti ya Serikali na hasa Bajeti ya CCM.
Mwigulu Nchemba kama vile aliyepagawa na mapepo aliendelea kupasha mipasho yake kwamba Wapinzani wameshindwa kuelewa kati ya Matumizi ya Kawaida na Matumizi ya Maendeleo. Kwamba 30% iliyotengwa kwa Matumizi ya Maendeleo siyo kweli maana inazidi hizo 30%! Akaendelea kumwaga radhi kuwa katika 70% ya Matumizi kuna pesa za kusomesha Wanafunzi katika Vyuo Vikuu ni sehemu ya fedha ya Maendeleo siyo matumizi maana ni uwekezaji katika Raslimali watu!
Haya ni maelezo ya Mwigulu Nchemba,Mchumi Daraja I(1ST CLASS) kutoka BOT. Kijana aliyepikwa na kuiva kisawasawa na aliyekuwa Gavana wa BOT Daudi Balali(RIP?) kwa utaalamu wa KUIBA PESA ZA EPA. Nchemba akiwa kama FISADI MZOEFU toka BOT anajaribu kuwapotosha Watanzania kwa hila zilezile za ki-EPA kuwa kuna PESA iko kwenye MATUMIZI lakini ni ya MAENDELEO!!??Hapa Nchemba anazuga tu na anajua kuwa hawezi kueleweka kwa watu makini na Watanzania wote wanaojua tofauti ya kati ya Fedha ya Matumizi na ya Maendeleo. Kama anayosema yana ukweli basi aseme kuwa ile 70% ya matumizi ni fedha ya MAENDELEO. Maana hata fedha iliyotengwa kwa ajili ya CHAI NA VITAFUNWA kwenye Wizara ili kushibisha matumbo ya Wafanyakazi ni maendeleo maana ni kuwekeza kwenye matumbo ya Raslimali watu. Fedha iliyotengwa kununulia MASHANGINGI ya Serikali nayo ni maendeleo. Kwa hiyo basi kwa maelezo ya huyu MWIGULU NCHEMBA MCHUMI CLASS 1, BAJETI YOTE 2012/13 NI YA MAENDELEO!!!!!!!!!!!
Hapo hapo kuna Mibunge ya CCM imeshangilia na kumtunza huyu kwa pesa na kila aina ya bashasha. Kwa Wabunge wa CCM huyu ni DAUDI BALALI mpya anayeibukia maana ndiye anayetengeneza dili za ULAJI ZA CCM na kuwatafutia CCM PESA ZA KAMPENI KWA CHAGUZI ZINAZOKUJA. Kwangu mimi NCHEMBA ni sawa na kibaka tu. Tunajua na tumesikia KASHFA zake kuhusu UZINZI MKUBWA anaofanya na wake za watu na kwamba aliyefumaniwa na mke wa mtu huko Igunga wakti wa kampeni za Ubunge 2011. Hakika ni huzuni na inasikitisha. Nimalize kwa kuunga mkono tamko la Mhe. John Mnyika kwa kusema kwamba kweli tumefika hapa tulipo kwasababu ya UPUUZI WA CCM!
Nawasilisha.
Bwana Mwigulu Nchemba akiongea kwa mipasho kama anayoitumia kwenye Kampeni zake za CCM alitamba kuwa yeye ni msomi na mchumi wa Daraja la 1 toka BOT kwa hiyo anajua sana Uchumi na kwa maana hiyo anaijua Bajeti ya Serikali na hasa Bajeti ya CCM.
Mwigulu Nchemba kama vile aliyepagawa na mapepo aliendelea kupasha mipasho yake kwamba Wapinzani wameshindwa kuelewa kati ya Matumizi ya Kawaida na Matumizi ya Maendeleo. Kwamba 30% iliyotengwa kwa Matumizi ya Maendeleo siyo kweli maana inazidi hizo 30%! Akaendelea kumwaga radhi kuwa katika 70% ya Matumizi kuna pesa za kusomesha Wanafunzi katika Vyuo Vikuu ni sehemu ya fedha ya Maendeleo siyo matumizi maana ni uwekezaji katika Raslimali watu!
Haya ni maelezo ya Mwigulu Nchemba,Mchumi Daraja I(1ST CLASS) kutoka BOT. Kijana aliyepikwa na kuiva kisawasawa na aliyekuwa Gavana wa BOT Daudi Balali(RIP?) kwa utaalamu wa KUIBA PESA ZA EPA. Nchemba akiwa kama FISADI MZOEFU toka BOT anajaribu kuwapotosha Watanzania kwa hila zilezile za ki-EPA kuwa kuna PESA iko kwenye MATUMIZI lakini ni ya MAENDELEO!!??Hapa Nchemba anazuga tu na anajua kuwa hawezi kueleweka kwa watu makini na Watanzania wote wanaojua tofauti ya kati ya Fedha ya Matumizi na ya Maendeleo. Kama anayosema yana ukweli basi aseme kuwa ile 70% ya matumizi ni fedha ya MAENDELEO. Maana hata fedha iliyotengwa kwa ajili ya CHAI NA VITAFUNWA kwenye Wizara ili kushibisha matumbo ya Wafanyakazi ni maendeleo maana ni kuwekeza kwenye matumbo ya Raslimali watu. Fedha iliyotengwa kununulia MASHANGINGI ya Serikali nayo ni maendeleo. Kwa hiyo basi kwa maelezo ya huyu MWIGULU NCHEMBA MCHUMI CLASS 1, BAJETI YOTE 2012/13 NI YA MAENDELEO!!!!!!!!!!!
Hapo hapo kuna Mibunge ya CCM imeshangilia na kumtunza huyu kwa pesa na kila aina ya bashasha. Kwa Wabunge wa CCM huyu ni DAUDI BALALI mpya anayeibukia maana ndiye anayetengeneza dili za ULAJI ZA CCM na kuwatafutia CCM PESA ZA KAMPENI KWA CHAGUZI ZINAZOKUJA. Kwangu mimi NCHEMBA ni sawa na kibaka tu. Tunajua na tumesikia KASHFA zake kuhusu UZINZI MKUBWA anaofanya na wake za watu na kwamba aliyefumaniwa na mke wa mtu huko Igunga wakti wa kampeni za Ubunge 2011. Hakika ni huzuni na inasikitisha. Nimalize kwa kuunga mkono tamko la Mhe. John Mnyika kwa kusema kwamba kweli tumefika hapa tulipo kwasababu ya UPUUZI WA CCM!
Nawasilisha.