Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,746
Taarifa za ujenzi wa hizo zahanati zitolewe ili iwe ushuduma uwepo na walioko kule wathibitishe kujenga kwa hiyo miradi na siyo kutoa taarifa za jumla jumla inakuwa kama bosheni tu.
Wakati ule Umi akiwa waziri wa afya alisema wamejenga vituo vya afya vingi lakini watu wamekuwa wakijuuliza vimejengwa wapi? Maeneo gani Mbona havionekani?
Wakati ule Umi akiwa waziri wa afya alisema wamejenga vituo vya afya vingi lakini watu wamekuwa wakijuuliza vimejengwa wapi? Maeneo gani Mbona havionekani?