Naona serikali imeridhika na tozo na imesahau traditional revenue toka kwenye biashara mijini, Ukienda dukani unaelezwa tukupe risiti ya kusafiria au tukupe ya TRA tumerudi kule kule. Mambo yote tozo cheap to collect while they are in the offices. TRA amkeni tumerudi kule kule kuweni macho mngekusanya more and more especially sasa hivi biashara zimechangamka kidogo.
Wakikusanya mnasema wanapora mali za watu oooo mara wanaua biashara.
 
Naona serikali imeridhika na tozo na imesahau traditional revenue toka kwenye biashara mijini, Ukienda dukani unaelezwa tukupe risiti ya kusafiria au tukupe ya TRA tumerudi kule kule. Mambo yote tozo cheap to collect while they are in the offices. TRA amkeni tumerudi kule kule kuweni macho mngekusanya more and more especially sasa hivi biashara zimechangamka kidogo.
Mkuu,

Haya mambo yako siku zote. Kusema yamerudi ni uongo mtupu. Kwani yaliondoka lini?

Kuchagua receipt au kupewa ya kiwango cha chini baada ya kununua kitu ni vitu vipo miaka nenda rudi. Ukisema yalitoweka ni uongo.

Cashless economy ndio solution ya hii kitu. Watu wengi wakitumia mifumo ya POS kununua kwa kutumia cards ndio solution ya kutoa receipt halali bila kuforge. Mfano mzuri kwenye petrol station wameweka mfumo ukoweka fuel receipt inatoka automatically na hakuna janja janja inapunguza sana wizi na underdeclaration
 
Back
Top Bottom