Mwigulu nchembe ni bogus kati ya mawaziri wote,hizi ni dharau na kejeri kwa watanzania,ivi unapata wapi ujasiri wewe kama waziri mwenye dhamana ya fedha na kuwambia watanzania kuwa utahakikisha wote walio pewa mgao wa pesa za escrow wanalipa kodi??
Ivi kweli kama ni pesa chafu na pesa za wizi wanalipaje kodi watu hawa?
Ivi jamani watanzania wenzangu tumeridhia kabisa kuongozwa na hawa ma bogus ndo maana tumeanzisha vita ya professionals????
Ivi kweli kama ni pesa chafu na pesa za wizi wanalipaje kodi watu hawa?
Ivi jamani watanzania wenzangu tumeridhia kabisa kuongozwa na hawa ma bogus ndo maana tumeanzisha vita ya professionals????