Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 637
- 1,901
Hakuna kitu muhimu katika maisha Kama kutofautisha ya kaisari na ya Kanisa
Ukimtumikia sana kaisari na kusahau kuwa kaisari huchaguliwa na raia ,Na ndani ya raia na wewe mtumishi wa kaisari ni ni mmoja wa raia
Ndugu Nchemba wewe sasa ni Raia sio mtumishi wa kaisari tena una makandokando mengi zaidi ya ile sumu ya kirusi iliyotaka kumuangamiza jasusi na mwanae
Kumbuka Jina lako tu lina utata na ulikuja kujitetea humu kuwa kweli jina sio lako ulitumia la mtu baada ya muhusika kukacha shule, Lakini nyuma ya pazia watu walikuheshimu humu Jf hawakutaka kumwaga mboga ungeumbuka
Kitendo chako cha kutaka kuhutubia jimboni baada ya kaisari kutengua uteuzi na kukufukuza utaamsha hasira za kaisari na wengine kukudai vyeti vyenye majina yako utaumbuka Mwigulu
Kubali kubeba zigo la msalaba ulilobebeshwa, leo hii mambo yote ya hovyo kuhusiana na raia yaliyotokea umebebeshwa wewe, ukweli utalipwa wewe na kizazi chako
Mikutano imefutwa na wewe Mwigulu ulitekeleza hii amri kwa kuita wapinzani wachochezi, Leo umewashwa na nini kutaka ufanye mkutano jimboni kwako
Mwigulu Kubali wewe umeshatumika na kutupwa kwenye dustibin, Anza kutumikia Kanisa sasa kwa kutubu
Ukimtumikia sana kaisari na kusahau kuwa kaisari huchaguliwa na raia ,Na ndani ya raia na wewe mtumishi wa kaisari ni ni mmoja wa raia
Ndugu Nchemba wewe sasa ni Raia sio mtumishi wa kaisari tena una makandokando mengi zaidi ya ile sumu ya kirusi iliyotaka kumuangamiza jasusi na mwanae
Kumbuka Jina lako tu lina utata na ulikuja kujitetea humu kuwa kweli jina sio lako ulitumia la mtu baada ya muhusika kukacha shule, Lakini nyuma ya pazia watu walikuheshimu humu Jf hawakutaka kumwaga mboga ungeumbuka
Kitendo chako cha kutaka kuhutubia jimboni baada ya kaisari kutengua uteuzi na kukufukuza utaamsha hasira za kaisari na wengine kukudai vyeti vyenye majina yako utaumbuka Mwigulu
Kubali kubeba zigo la msalaba ulilobebeshwa, leo hii mambo yote ya hovyo kuhusiana na raia yaliyotokea umebebeshwa wewe, ukweli utalipwa wewe na kizazi chako
Mikutano imefutwa na wewe Mwigulu ulitekeleza hii amri kwa kuita wapinzani wachochezi, Leo umewashwa na nini kutaka ufanye mkutano jimboni kwako
Mwigulu Kubali wewe umeshatumika na kutupwa kwenye dustibin, Anza kutumikia Kanisa sasa kwa kutubu