Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mwigulu Nchemba anapwaya na hata majukumu yake hayaelewi.
Kauli zake ni kama mcee haonyeshi utashi, uzoefu au maarifa ya kuisimamia wizara nyeti kama hii.
Huko Kibiti anasoma siasa wakati kuna kero za msingi za kutatuliwa. Kifupi hana mkakati.
Kazi ambayo angejikita nayo maana hizo nyingine hawezi ni kupigania kuboresha haki za wafungwa ambazo zinaporwa kila kukicha.
Rumande ziwe na vyoo vya kuflash na ukomo wa idadi kwa kila chumba, lishe bora na viwepo vitanda vya kulala na mwanga wa kutosha.
Wafungwa wawe na vitanda kila mmoja, lishe bora, vyoo vya kuflash, kila chumba wasizidi wafungwa 12.
Vifungo vya nje na faini badala ya vifungo kupunguza msongamano kwenye jela.
Nchi isiyoheshimu haki za wafungwa haiwezi kuendelea.
Hayo anaweza kufanikisha na kujipangusa maeneo mengi aliyoonyesha udhaifu
Vinginevyo just resign and go home because you are useless!
Kauli zake ni kama mcee haonyeshi utashi, uzoefu au maarifa ya kuisimamia wizara nyeti kama hii.
Huko Kibiti anasoma siasa wakati kuna kero za msingi za kutatuliwa. Kifupi hana mkakati.
Kazi ambayo angejikita nayo maana hizo nyingine hawezi ni kupigania kuboresha haki za wafungwa ambazo zinaporwa kila kukicha.
Rumande ziwe na vyoo vya kuflash na ukomo wa idadi kwa kila chumba, lishe bora na viwepo vitanda vya kulala na mwanga wa kutosha.
Wafungwa wawe na vitanda kila mmoja, lishe bora, vyoo vya kuflash, kila chumba wasizidi wafungwa 12.
Vifungo vya nje na faini badala ya vifungo kupunguza msongamano kwenye jela.
Nchi isiyoheshimu haki za wafungwa haiwezi kuendelea.
Hayo anaweza kufanikisha na kujipangusa maeneo mengi aliyoonyesha udhaifu
Vinginevyo just resign and go home because you are useless!