Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Muda huu namuangalia Mwigulu Nchemba katika Star TV. Kwa maisha niliyoyaona, hakika hakustahili kuwa muumini wa CCM.
Hahahahahmsanii tu. halafu kavaa kaptula hadi pumb.u zinaonekana
Muda huu namuangalia Mwigulu Nchemba katika Star TV. Kwa maisha niliyoyaona, hakika hakustahili kuwa muumini wa CCM.
- Ok Muumini wa CCM anatakiwa kuwa wa namna gani na na wa chama chenu Chadema namna ipi? Hebu funguka hapo kwanza hapo tuwekane sawa!!
Le Mutuz!
- Ok Muumini wa CCM anatakiwa kuwa wa namna gani na na wa chama chenu Chadema namna ipi? Hebu funguka hapo kwanza hapo tuwekane sawa!!
Le Mutuz!
mjomba kaingia tena hapa msubiri nondo za le mutuz