Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,475
- 14,316
Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.
Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.
Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
hapo kwenye nyekundu alimesema aliuza gari yake VX V8 kwa ajili ya kununua Pampu ya Maji, nilipo bold kwa blue anasema alinunuaa Pampu ya maji ina maana pampu ya maji ni sawa na hilo V8 lake mbona jamaa muongo?