Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Wakati ni hakimu wa hakiHahahahaaa mkuu, hao jamaa niliowa-tag sijafanya hivyo kuwa kupenda ila nimelazimika kwa maana walinikejeli sana siku nilipoandika humu kuwa tozo zinapaswa kuendana na uzito wa kosa.
Kosa la bajaj sio sawa na la mwenye lorry.