Mwigulu Nchemba na Tuhuma za Ugaidi wa CHADEMA

mwigulu ni stupid hana analolijua hajui anadili na watu wa aina gani cdm watu wasomi na waelewa so yuko kwenye matatizo makubwa aprovu aliyoyasema na kwa ushahidi.
 
Nimesoma gazetini kuwa sasa amefikia hatua ya kumtukana Dr Slaa na familia yake matusi ya nguoni
 
Marekani na Nato ni wenyeji Libya au Iraq? na Tanzania wakati inaivamia Uganda kumng'oa Iddi Amini walikuwa wenyeji? Acha mifano ya kitoto

Na wewe acha Mfano usio na akili, Tanzania iliivamia Uganda au Uganda ndio iliyoivamia Tanzania

Acheni kupokea Misaada ya Wizi toka kwa Gadaffi na sasa Mnapindisha historia ya nchi yetu eti Tanzania iliivamia Uganda...

Sisi tuliathirika Vibaya Sana na hayo Mashambulizi ya Idd Amin pesa za wizi zimewajaa na kupindisha historia what goes around comes around
 
Hii Porojo haihitaji uwe na Elimu ya Kidato cha 4 kugundua kama imepikwa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Ukisikia Upupu ndio huu...sioni haja ya kuumiza kichwa kwenye hii takataka.
 
Magazeti ya UHURU na Mwananchi leo tarehe 14/9/2011 ya mebeba tuhuma nzito zilizotolewa na mweka hazina wa CCM Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mbunge wa moja ya jimbo mkoani Singida, kwamba CHADEMA wamepeleka vikundi vya kigaidi huko Igunga vikiwemo vikundi kutoka nje ya nchi.

Tuhuma hizo ni nzito na hazipaswi kupuuzwa. Je, Nchemba anataka kutuambia serikali na vyombo vya usalama ni butu kiasi hicho? Ameamua kuidharirisha serikali inayoongozwa na chama chake kwa nia ya kupata kuungwa mkono na wapiga kura wa Igunga?

Kama msomi alipaswa kujua athari ya kauri anazotoa ambazo kwa dhahiri zinaidharirisha serikali yake. Vinginevyo serikali itoe maelezo dhidi ya ugoigoi unaoelezwa na Nchemba dhidi yake.

Haiingii akilini chama cha siasa kiingize magaidi kutoka nje ya nchi wakae Igunga serikali isiwe na habari mpaka mweka hazina wa CCM atoe taarifa kwa vyombo vya habari.

Serikali hiyo inapaswa iondolewe madarakani kwa kushindwa kulinda usalama wa nchi.
mh kazi mnayo chadema kila mbinu mwatumi nyinyi mh
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom