Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Leo kuna uzinduzi wa album ya kwaya ya vijana AIC Geita na mgeni rasmi atakuwa Bw.Nchemba ngoja tusubiri leo ataibuka na lipi maana hawezi kuongea bila kuitaja CDM..... stay tuned
Mkuu wewe sijui umekula uyoga ulishaona mchungaji au padri anahubiri bila kumtaja shetani fikri kwanza kabla ya kunena.Leo kuna uzinduzi wa album ya kwaya ya vijana AIC Geita na mgeni rasmi atakuwa Bw.Nchemba ngoja tusubiri leo ataibuka na lipi maana hawezi kuongea bila kuitaja CDM..... stay tuned
Katika watu ambao chadema hamlali mkimwaza usiku na mchana ni mwigulu nchemba.
Katika watu ambao chadema hamlali mkimwaza usiku na mchana ni mwigulu nchemba.
Katika watu ambao chadema hamlali mkimwaza usiku na mchana ni mwigulu nchemba.
Leo kuna uzinduzi wa album ya kwaya ya vijana AIC Geita na mgeni rasmi atakuwa Bw.Nchemba ngoja tusubiri leo ataibuka na lipi maana hawezi kuongea bila kuitaja CDM..... stay tuned