MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Tunaweza kuonekana sisi vichaa kwa kumjadili huyu mpuuzi
Mbona yule Matonya amepata umaarufu mkubwa miongoni mwa ombaomba nchini, kajadiliwa sana, kaandikwa sana magazetini nk, lakini hakutajirika kwa hilo, wacha tu huyu muuaji achanwechanwe na kuanikwa, asiemjua amjue.