Wana jf naomba mmufwatilie mzalendo wa kwanza Tanzania utaamini sokoine amerudi tanzania badilisha channeli unayoona weka I.t.v mdaa huu
Shetani mkeo ndiyo maana anashinda na nguo nyeusi kutwa nzima.Mashetani nyie
Mwigulu ni Mzalendo haswa! Mungu aendelee kumpa upeo! Anaongea vitu vya maana sana kuhusu maendeleo ya nchi yetu!
Kweli kabisa mkuu mwigulu anazungumza vizuri sana anafaa kuwa kiongozi.Mwigulu ni Mzalendo haswa! Mungu aendelee kumpa upeo! Anaongea vitu vya maana sana kuhusu maendeleo ya nchi yetu!
Wana jf naomba mmufwatilie mzalendo wa kwanza Tanzania utaamini sokoine amerudi tanzania badilisha channeli unayoona weka I.t.v mdaa huu
Masharti na vigezo lazima vizingatiwe kwenye uzalendo siyo porojo kwenye vyombo vya habariMwigulu ni Mzalendo haswa! Mungu aendelee kumpa upeo! Anaongea vitu vya maana sana kuhusu maendeleo ya nchi yetu!
Anazungumza vizuri sana anastahili kuungwa mkono jamaa yuko vizuri sana hasa kwenye hili suala la kupunguza matumizi ya serikali.
Safi sana aisee..Mwigulu ni mzuri sana huyu jamaa sema siasa tu inamfanya aonekane namna gani..!!
Alishatubu juu ya mbinu aliyosuka kumuua mvungi.