Leo akichangia hotuba ya Wizara ya elimu,kama kawaida yake mh Mwigulu aliacha kuchangia mambo ya msingi ktk hotuba iliyokua mezani ya Mh Mulugo waziri wa Elimu na badala yake akaanza kutoa Vijembe kama kawaida yake kwa CHADEMA kwamba anashangaa kama na wao (CHADEMA) wanalalamika kwa matokeo ya kidato cha nne 2012 huku akijua kua wao CHADEMA kufeli kwa wanafunzi hao ni Furaha yao na ndicho walichokua wanakitaka.
Alisema iweje CHADEMA wajidai wana uchungu na wanafunzi kufeli na kushuka kwa elimu huku wao (CHADEMA) wakiwahamasisha wananchi wasijenge shule!
Aliwaomba Watanzania kuwaogopa Wasanii na Waigizaji wanaojidai wana uchungu na nchi hii huku wakiikosoa Serikali kwa kisingizio cha kuwa wanaikosoa CCM. alisema hakuna nchi inaitwa CHADEMA bali kuna nchi inaitwa Tanzania ya Watanzania. Hivyo yeyote anaepinga Serikali haipingi CCM bali anawapinga Watanzania.
Akimalizia alisema kuwa anawashangaa CHADEMA kukosoa Shule za kata zilizojengwa na CCM huku wao wenyewe (CHADEMA) hawajawahi hata kujenga chumba kimoja zaidi ya kishia kupanga Viofisi vya Chama.
Akichangia hotuba hiyo Mbunge wa Mbulu mh Mustapha Akunay alisema kua Watanzania wasipotoshwe kwani Shule za Kata zimejengwa kwa nguvu za Wananchi wakishirikiana na Serikali. Na kwamba hakuna hata Shule moja iliyojengwa na CCM kwani shule hazijengwi na vyama vya Siasa.
Nawakilisha.
Alisema iweje CHADEMA wajidai wana uchungu na wanafunzi kufeli na kushuka kwa elimu huku wao (CHADEMA) wakiwahamasisha wananchi wasijenge shule!
Aliwaomba Watanzania kuwaogopa Wasanii na Waigizaji wanaojidai wana uchungu na nchi hii huku wakiikosoa Serikali kwa kisingizio cha kuwa wanaikosoa CCM. alisema hakuna nchi inaitwa CHADEMA bali kuna nchi inaitwa Tanzania ya Watanzania. Hivyo yeyote anaepinga Serikali haipingi CCM bali anawapinga Watanzania.
Akimalizia alisema kuwa anawashangaa CHADEMA kukosoa Shule za kata zilizojengwa na CCM huku wao wenyewe (CHADEMA) hawajawahi hata kujenga chumba kimoja zaidi ya kishia kupanga Viofisi vya Chama.
Akichangia hotuba hiyo Mbunge wa Mbulu mh Mustapha Akunay alisema kua Watanzania wasipotoshwe kwani Shule za Kata zimejengwa kwa nguvu za Wananchi wakishirikiana na Serikali. Na kwamba hakuna hata Shule moja iliyojengwa na CCM kwani shule hazijengwi na vyama vya Siasa.
Nawakilisha.