Mount Kibo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,956
- 551
Mwigulu sio bure, atakuwa amechomoka misumali kichwani huyu!!! Hivi kwa akili yake ya kawaida anaweza kutaja angalau shule moja ya serikali iliyo jengwa na ccm ambayo anaweza kusema angalau imefaulisha japo Div 1 moja?!
Mkuu Mtoi hapo jamaa alikuwa anataka kutuambia kwamba wao ndo waliojenga izo zinazoitwa failure generators.Shule zimejengwa na serikali ila hazina waalimu na vifaa.zimeanzishwa kisiasa zaidi