Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 75
Sasa si wangegoma kutoa misaada cuz ni hela zao tunazozitegemea ukiacha pombe, soda na sigara..........huyu anamtazamo wa kale kwamba watanzania ni wajinga hivyo unaweza kuwadanganya utakavyo......wenyewe walipitisha azimio la kuwa bajeti ya maendeleo iwe 35% then wanakumbushwa hilo wanabwabwaja huu ulevi wa vyama huu ni kati ya ulevi mmbaya sana bora wangelewa pombe wasaidie bajeti na pato la taifa