mwakaila
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 1,053
- 157
Ni ukauwa sio ukawa
yote sawa ila unazungumzia vipi hili suala la kuvuliwa skafu bungeniMwigulu ni jembe ulaya
Ni ukauwa sio ukawa
yote sawa ila unazungumzia vipi hili suala la kuvuliwa skafu bungeniMwigulu ni jembe ulaya
Anajifanya ana uchungu na Taifa kumzidi Nyerere ambaye alijitolea uhai wake ili Tanganyika ipate uhuru.
Kama wa mama yako, dada zako, shangazi zako na nyanya yako!Petro E. Mselewa una wivu wa kike!
Basi hata Hansard ni mwanamke yeye amejuaje kuwa Peter ana wivu wa kike kama yeye mwenyewe Hansard hajui wivu wa kike ukoje!!!!yawezekana wewe ni shoga kabisa ndio maana unajuwa hadi mashoga wivu wenu ukoje.
Punguzeni Munkari
Hata kwa kumjadili yeye mnapoteza wakati mbao mngefanya jambo la maana ili kusukuma haya maisha magumu kama Greda la kifaransa
mwenzetu tayari yupo mgodini anajizolea mpaka ya kizazi chake chote.
uwiiii
Spika Makinda amemwamuru Mwigulu kuvua mara moja ndani ya ukumbi wa bunge leo jioni!
Pongezi spika kwa kumkumbusha Mwigulu nidhamu ya bunge!
Jamaa kazidi,anajifanya anathamini sana serikali na ccm,wakati toka awe naibu waziri,walimu na wafanyakazi wa hospilal wanacheleweshewa mishahara yao.