Katika kipindi cha maswali na majibu leo asubuhi lilikuwepo swali la MBunge Mariam Msabaha wa CHADEMA aliyetaka kujua hatma ya mgogoro wa wanajeshi na wananchi huko Znz kuhusu ardhi, likafuatia la nyongeza la Ester Bulaya aliyetaka kujua hatima ya mgogoro wa wananjeshi na wananchi Kunduchi, baada ya majibu ndipo Mhe. Mwigulu aliuliza
'Ni kwanini serikali isihamishe kambi zote za jeshi maeneo ya mijini na kuzipeleka vijijini ambako kuna maeneo makubwa na hivyo migogoro itakuwa imeisha ......na alitaja eneo moja huko kwao Iramba kuwa linafaa kuwekwa kambi ya JWTZ '
Nahodha katika majibu yake alimjibu kuwa kambi za jeshi huwa hazianzishwi tu bila utaratibu bali hufanyika utafiti wa kina na wa kimkakakti katika maswala ya ulinzi kabla ya kufanya uamuzi wa kambi iwekwe wapi na iwe ni ya aina gani akimaanisha ya Vifaru, Kikosi cha anga ama ardhi na majini.
Hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa mchumi namba moja ambaye ametoka JKT juzi hajui kuwa masuala ya ulinzi sio sawa na kuanzisha shhamba darasa Iramba kuwa unaangalia eneo lililopo theni unaanzisha shamba darasa .
Nimeona aibu sana kwa naibu katibu mkuu wa CCM ambaye hajui kuwa kambi za jeshi ni suala la kimkakati na hakuna nchi duniani eti mijini hakuna wanajeshi kwenye kambi .......Hao ndio viongozi wa CCM ya leo tutarajie nini kama sio maafa kwa taifa....
'Ni kwanini serikali isihamishe kambi zote za jeshi maeneo ya mijini na kuzipeleka vijijini ambako kuna maeneo makubwa na hivyo migogoro itakuwa imeisha ......na alitaja eneo moja huko kwao Iramba kuwa linafaa kuwekwa kambi ya JWTZ '
Nahodha katika majibu yake alimjibu kuwa kambi za jeshi huwa hazianzishwi tu bila utaratibu bali hufanyika utafiti wa kina na wa kimkakakti katika maswala ya ulinzi kabla ya kufanya uamuzi wa kambi iwekwe wapi na iwe ni ya aina gani akimaanisha ya Vifaru, Kikosi cha anga ama ardhi na majini.
Hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa mchumi namba moja ambaye ametoka JKT juzi hajui kuwa masuala ya ulinzi sio sawa na kuanzisha shhamba darasa Iramba kuwa unaangalia eneo lililopo theni unaanzisha shamba darasa .
Nimeona aibu sana kwa naibu katibu mkuu wa CCM ambaye hajui kuwa kambi za jeshi ni suala la kimkakati na hakuna nchi duniani eti mijini hakuna wanajeshi kwenye kambi .......Hao ndio viongozi wa CCM ya leo tutarajie nini kama sio maafa kwa taifa....