zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kunya Anye kuku Akinya Bata Kaharisha wao CCM walichofanya Rukwa,Jangwani na Jana Kigoma ni nini?Ingekuwa CDM ndo wanazungumzia hili wangeambiwa kesi ipo mahakamani.:eek2:
Mwigulu kiboko yenu, sasa kuna watano wengine wanakuja kusaidiana na Nape na Mwigulu, kila mmoja anawekwa kanda yake hivi tunawatayarisha kwa lugha za kienyeji za kila kandaa watayowasilisha,
Halafu huku kwanini msifunguwe kiwanda cha mbege?
[h=3]Pinda azindua Kiwanda cha Serengeti mjini Moshi[/h]