Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Huna point mkuu kuandamana ni haki yao kikatiba na polisi kazi yao ni kuwalinda waandamanaji. Mapolisi wetu hawajui kabisa kazi yao wao wanadhani ni mahakimu. Nchi za wastarabu hana kama mtu kashikwa anaua kama hapingi kuwekwa chini ya ulinzi anashughulikiwa kistaarabu na chai anapewa maana kwa wakati ule siyo mhukumiwa anakua mtuhumiwa.Kwani hao walemavu walikuwa wanaandamana kudai nini???