MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukiwa bado wenye huzuni na tunaomboleza tusisahau kutafuta majibu ya maswali magumu yaliyo mbele yetu ambayo vielelezo vinatuongoza na kutuonyesha njia ambayo tukiifuata kwa uangalifu na kwa msaada wa mungu, hakuna pasi shaka tutafika kule ambako shetani amejificha.
binadamu tumeumbwa na kupewa vitu viwili viwili. Macho mawili, mikono miwili, miguu miwili, pua mbili, masikio mawili na hata matendo yetu na muonekano uko mara mbili. Waingereza wanasema, don't judge a book by its cover. Mungu ndiye atatuonyesha.
Mbona anakimbia Arusha? Aende na hospital kwa majeruhi, muuwaji huyo. Siku zake zinahesabika
Huo ni mtazamo wako na una heshimiwa.Toka Mwigulu Nchemba apewe cheo CCM imekuwa si kile chama nilichokijua mwaka 1977 siku tunasherehekea kuzaliwa kwake.
Tukiwa bado wenye huzuni na tunaomboleza tusisahau kutafuta majibu ya maswali magumu yaliyo mbele yetu ambayo vielelezo vinatuongoza na kutuonyesha njia ambayo tukiifuata kwa uangalifu na kwa msaada wa Mungu, hakuna pasi shaka tutafika kule ambako shetani amejificha.
Binadamu tumeumbwa na kupewa vitu viwili viwili. Macho mawili, mikono miwili, miguu miwili, pua mbili, masikio mawili na hata matendo yetu na muonekano uko mara mbili. Waingereza wanasema, Don't judge a book by its cover. Mungu ndiye atatuonyesha which cover is this?.
Kama wako kwa makusudi maalum hata wewe uko hapo ulipo kwa makusudi yako maalum kama wao.Watu hawa wapo,kwa makusudi maalum.
Kila binadamu ana upeo alijaliwa katika kuchambua mambo lakini haina maama upeo wako unawazidi wanadamu wote. Hata wewe inawezekana una upeo kiduchu wa kuchambua mambo.1.inawezekana upeo wao wa kuchambua mambo hapo ndipo ulipifikia.
Huwezi kuleta dhana ya WANAWEZA na kuifanya kuwa ni hoja. By the way, kwani watu wanaojiunga na CHADEMA hawategemei chochote katika maisha yako kutoka CHADEMA. Haya ndiyo mawazo ya kidikteta kuwaona watu walioko kwenye vyama vingine kama ni wajinga na uwezo wa kuchambua mambo ni mdogo zaidi yenu. Who are you to judge human. Hii ndiyo demokrasia, wanasema ukitaka unaacha. Watu wana maamuzi na maisha yao kama ulivyo na maisha yako.2. Wengi wanaweza kuwa ni wale wanaotegemea fadhila,wa njia ya masomo,biashara.......
Kwanza umejuaje kama wana baba?. Kwa hiyo wewe uko CHADEMA kwa vile baba yako yuko huko?. Hizi ni fikra mufilisi kabisa.3.baba zao wako kwenye mkondo uleule.
Kwani kuna muhuri wa watu wa maeneo fulani. Haya mawazo yenu ya kimajimbo jimbo ndiyo yanaleta hizi mentality za PROFILING. Hao ni Watanzania.4.sura nyingi si za wakazi wa Arusha.chunguzeni hilo mtakuja kutupa habari.
Pamoja na yote,tunayoyafanya Mungu wetu yupo anatutazama.