Katibu wa Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba anadaiwa kununua jina la msukuma mmoja anayeitwa hilo wakati wa kwenda kidato cha kwanza.
Inadaiwa huyo mwenye jina la Mwigulu yuko maeneo ya Shinyanga ambapo bwana huyo alimuachia nafasi ya kwanda kidato cha kwanza kwa kutumia jina hilo baada ya yeye kuwa amefaulu kwenda kidato cha kwanza na kukosa uwezo kama ilivyokuwa kwa Andrew Kigwangala.
Mwenye data zaidi kama anazifahamu atumwagie wana JF, mie nimezipata juu kwa juu toka kwa Mzee mmoja ambaye anamfahamu vizuri lakini data hakuzimwaga sawaswa.
Nawasilisha JK.
Inadaiwa huyo mwenye jina la Mwigulu yuko maeneo ya Shinyanga ambapo bwana huyo alimuachia nafasi ya kwanda kidato cha kwanza kwa kutumia jina hilo baada ya yeye kuwa amefaulu kwenda kidato cha kwanza na kukosa uwezo kama ilivyokuwa kwa Andrew Kigwangala.
Mwenye data zaidi kama anazifahamu atumwagie wana JF, mie nimezipata juu kwa juu toka kwa Mzee mmoja ambaye anamfahamu vizuri lakini data hakuzimwaga sawaswa.
Nawasilisha JK.