MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Bila shaka huyu bingwa wa matusi amentangulia mwenzake Livingstone Lusinde kuja kumalizia kampeni za udiwani kwa namna ile ile waliyomalizia kule Arumeru na hatimaye kufanikisha dogo janja kushinda.
Naomba nikupe tahadhari mkuu, ya Igunga yaishie Igunga na incase umezidiwa basi fika mitaa ya Mrina annex pale golden rose nyakati za jioni.
Ila pia pima kina cha Kampeni kwanza kabla ya kujiingiza kichwa kichwa kwani mziki ni mzito sana yasikupate yaliyompata Maalim seif.
Naomba nikupe tahadhari mkuu, ya Igunga yaishie Igunga na incase umezidiwa basi fika mitaa ya Mrina annex pale golden rose nyakati za jioni.
Ila pia pima kina cha Kampeni kwanza kabla ya kujiingiza kichwa kichwa kwani mziki ni mzito sana yasikupate yaliyompata Maalim seif.