Mwigulu: Mama Samia kajifunza kuendesha nchi kutoka kwa Kikwete

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,666
22,674
.

E3iRYOOWEAYUDyV.jpeg
 
Magufuli alilewa na sifa za uongo/za kinafiki... yanayoendelea sasa ndio ukweli.
Tutajionea mengi

Acha wamgeuke tu aliumiza watu wengi sana! Nchi ilikuwa na huzuni mno huku wasukuma wakichekelea, na kuzodoa watanzania wengine kama hii nchi wao siyo wazawa!

Mama tutakuongezea hata mingine kumi! Watanzania wana amani na furaha sasa hv, angalau umoja wetu umeanza tena kurudi!
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom