Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
moja ya sababu za ccm kudai kujivua gamba ilikuwa ni kutofautisha kazi za kichama na za serikali........lakini kama ilivyo kwa JK, na makamu wake Pinda, Spika na naibu wake raisi wa zanzibar na makamu zao, waziri kiongozi (SMZ), meghji na wengineo......ambao wapo serikalini kwa kiguu kimaja na kingine ndani ya chama na huyu Mbunge wa iamba magharibi naye ni Katibu wa Uchumi na Fedha Taifa, na sasa cc imempa kazi ya kuogoza mashambulizi ya chaguzi ndogo ya kumrithi Rostam Aziz kule Igunga............................
Maswali yanayojitokeza ni pamoja hivi lengo lilikuwa ni la kituashi au ni siasa za kukomoana tu???????????????
Maswali yanayojitokeza ni pamoja hivi lengo lilikuwa ni la kituashi au ni siasa za kukomoana tu???????????????