Ikulu ya babaako ndio hakuna gym bali hospitali.Ikulu sio GYM... Hao wazee wanatafuta umaarufu kwa vijana.. Vijana wote wa Tamzania kura zetu ni kwa Lowasa tu
Ikulu ya babaako ndio hakuna gym bali hospitali.
Wewe ni dhaifu wa akili ndio maana umeshindwa kujiajiri.CCM imesababisha ukosefu wa ajira kwa vijana,, umasikini ,elimu duni.... CCM lazima iachie madaraka..imewanyonya watanzania vya kutosha..ni wakati wa mabadiliko huu..kura zote kwa lowasa
Wagonjwa mwisho wao Muhimbili na sio Ikulu.Mwaka huu magamba Lowassa amewavuruga !!
Wewe ndio wale mnao jifunzia Siasa kwenye mtandao. Wewe na babaako hamjwai ingia Ikulu na mtaendelea kuonea kwa mbali tu.push up mwisho GYM
.
Safii sana MkuuMagufuri ni creater mzuri sana ..yuko flexible na ndo maana nec walimchagua ..leo kaja na ya funguo tatu za kufuri yaani rais, mbunge na diwani
angekuwa Obama je ungesemaje?push up mwisho GYM
.
Mbona ma.atako yako juu... wanafanyaga nn..?
Hawa sio wazima kabisa.... wanapakuliwa nn..?