Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
Aisee kumbe ndivyo ilivyo!
Nalog off
Nalog off
Wanatia hasira sana hawa jamaa,Nyerere angeyajua haya bora angewaacha Waingereza waendelee kututawalaHili lichama limejaa watu wa ajabu mno.
Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.
CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Hivi Tanzanite lipo?Hili gazeti la kufungia mihogo ndio liliandika ole sabaya ni billionea , wapuuzi sana linatumiwa na mbowe na genge lake
USSR
Nyie ndio walewale majiziHili gazeti la kufungia mihogo ndio liliandika ole sabaya ni billionea , wapuuzi sana linatumiwa na mbowe na genge lake
USSR
Duuuh!! Mie nishuke tuu!!Yatima sio Nyie Baba yenu Jiwe aliyekufa kwa covid?
Huyu atadumu tu! Amewekwa pale siyo kwa ubora wake bali kwa malengo ya waliomuweka. Kuna kazi inabidi umpate mwenye akili ya aina fulani.Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
kabisa, angeendelea kubaki waziri mkuu kama walivyofanya australia na canada tungekuwa mbali mno kimaendeleo.Wanatia hasira sana hawa jamaa,Nyerere angeyajua haya bora angewaacha Waingereza waendelee kututawala
Mjinga sana wewe.Mbowe Ni gaidi ,mjiandae kisaikorojia ninyi yatima watarajiwa
Hili lichama limejaa watu wa ajabu mno.
Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.
CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Mjinga sana wewe.
Kwa majungu ya wahariri uchwara
USSR
Wewe mjane mfuate huko mwenzako...Mbowe Ni gaidi ,mjiandae kisaikorojia ninyi yatima watarajiwa
Walikuwa ni makabulu sio wa Africa wenzie.Ila ss ni watz wenzake,tunamshuku huyu jamaa ni gaidi!!Hata Mandela aliitwa gaidi na Makaburu.
Kuna ukweliHuyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
ha ha ha ,watu mnautani mbaya,amekuwa bi kidude TenaHuyo bi kidude ana roho mbaya sana, hafai kuwa mkuu wa nchi
Usitutoe kwenye reli. Mwigulu hafai kuwa waziri wa wizara technical labda mumtafutie wizara butu au kama mnapenda sana basi wana Iramba tumewaachia mumchague awe mbunge wenu hadi mautiUtawala wa JK kila uzushi alitupiwa Ridhiwani, utawala wa Magu alikuwa Makonda, naona utawala wa Samia ni Mwigulu, waTZ tuna shida sana