Mwigulu: Kama sikukubaliana na hoja ya miaka 7 katika rasimu ya Katiba kipindi kile, hata sasa sitakubaliana nayo

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Aug 19, 2017
2,830
2,417
Leo katika kipindi cha asubuh Clouds Tv kinachoendeshwa na hassan ngoma na bebi kabae mweshimiwa waziri wa mambo ya ndani wa zamani Hon. Mwigulu nchemba amelizwa swali na Hassan ngoma.

Ngoma; mweshimiwa nchemba unaliongeleaje suala la wabunge wanaoleta hoja bungeni kuhusu suala la rais kuongezewa muda wa kukaa madarakan.

Hon.Mwigulu; ngumu kukubaliana nalo kwa maana fulan

Ngoma; kwa hiyo msimamo katika hili ni upi kutoka kwako

Hon.Mwigulu; kwangu mimi ni ngumu kukubaliana na hilo mana sio muda mrefu katika mchakato wa katiba nilisimama bungeni na kulikataa hilo haraf leo nije na maneno ya kukubaliana na hilo wananchi wangu wataniona sina msimamo na siwez kusimamia kile ninachokiamin


MY TAKE :nazan wabunge wanaoleta hili wana wasiwasi mana hawajafanya kitu majimboni mwao ko wanataka kuteleza na upepo wa Rais haswa bwana Juma Nkamia sasa nadhan ni wakati wa kuanza kutembelea majimbo yao na kuleta mrejesho hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wengi walio madarakani hawapendi mabadiliko wanapenda ku maintain status quo.Hawajui mabadiliko hayo yaweza kuzaa catastrophes baada ya kuacha madalaka.Ndio maana katiba iliyo bora ni hile inayozingatia maoni ya wananchi sio ile inayotungwa na watawala wale wale wanaoitunga kulinda himaya isije ikatingishwa.
 
Logic mara nyingi hutumika kwenye maamuzi....Unakuwa na msimamo wa jambo fulani kutokana na hatua za kilogic kujua jambo na kutengeneza maamuzi. Wakati mwingine mara nyingi hatua za kilogic ni 'temporal based'/ ulingana na muda uliopo.Kwa msingi wa hoja hiyo hapo juu, Mh. Mwigulu anaweza kutueleza sababu za kilogic alizotumia kufuata msimamo wake wakati wa mchakato wa katiba...na zile za muda huu.
 
Leo katika kipindi cha asubuh Clouds Tv kinachoendeshwa na hassan ngoma na bebi kabae mweshimiwa waziri wa mambo ya ndani wa zamani Hon. Mwigulu nchemba amelizwa swali na Hassan ngoma.

Ngoma; mweshimiwa nchemba unaliongeleaje suala la wabunge wanaoleta hoja bungeni kuhusu suala la rais kuongezewa muda wa kukaa madarakan.

Hon.Mwigulu; ngumu kukubaliana nalo kwa maana fulan

Ngoma; kwa hiyo msimamo katika hili ni upi kutoka kwako

Hon.Mwigulu; kwangu mimi ni ngumu kukubaliana na hilo mana sio muda mrefu katika mchakato wa katiba nilisimama bungeni na kulikataa hilo haraf leo nije na maneno ya kukubaliana na hilo wananchi wangu wataniona sina msimamo na siwez kusimamia kile ninachokiamin


MY TAKE :nazan wabunge wanaoleta hili wana wasiwasi mana hawajafanya kitu majimboni mwao ko wanataka kuteleza na upepo wa Rais haswa bwana Juma Nkamia sasa nadhan ni wakati wa kuanza kutembelea majimbo yao na kuleta mrejesho hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
ccm kunampasuko mkubwa hadi 2020 na safari hii hakuna mtu wa kuwaleta pamoja kama kinana na nape
 
Hilo swala la kuongeza muda wa watawala ni la kidunia kwa sasa.

Jana nimemuona KALONZO MUSYOKA wa ODM Kenya akiwaeleza wafuasi wake ktk mkutano kwamba. Ataunga mkono hoja ya UHURU KENYATTA kuongezewa muda wa kutawala baada ya 2022.

Kenya tunawataja kama mfano wa utawala wa kidemokrasia wenye katiba BORA kabisa kwa Africa nao wamekuwa na nini?

Ni kwa kigezo hicho tusiwapuuze Watanzania wenye maono hayo kwani hata Russia, China, Turkey ambazo ni nchi zilizoendelea zimefanya ivo. Kwa nini iwe HARAMU kwetu?

La msingi hapa ni lazima waombaji watupe SABABU ZA MSINGI ZA MAOMBI HAYO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom