Ijumaa hii mishahara mipya itatoka. Lile punguzo la kodi ya PAYE ambalo Dr. Mwigulu alimshauri mama kwa watumishi wenye mishahara midogo kwa hesabu za haraka ni punguzo la Shilingi 2,750/- (Shlingi elfu mbili, mia saba na hamsini tu). Kwa maana hiyo kila mtumishi wa Serikali na Sekta binafsi ata pokea nyongeza ya mshahara ya shilingi 2,750/- tu. Hii ni kwa mwezi, tofautisha na miamala ya kwenye simu ambayo hufanyika kwa kila siku na ni mara nyingi.
Kwa tafsiri ya haraka, nyongeza ya mshahara ya kila mfanyakazi wa Tanzania ni sawa na transaction moja ya kutuma au kutoa shilingi elfu ishirini kwenye mtandao wa simu.
Hiyo statement ya kuwa Serikali itaachia mihela haitakuja itokee kamwe. Dr. Mwigulu anafikir bado yupo zile Enzi za kusema mbovumbovu bungeni kama ilivyokuwa wakati wa JPM. Kwa sasa Bungeni hamna upinzani - kilichobaki upinzani utakuwa miongoni mwetu sisi wenyewe.
Rais Samia hawa watu hukutakiwa kwenda nao - yaani waropokajiropokaji wa awamu ya tano walitakuwa waishie kwenye awamu hiyo hiyo.
Mama ukiendelea kuwalea lea hawa watakurudia wewe mwenyewe - kwa sasa hamna upinzani mseme kuwa mtawasingizia hao ndiyo wakwamishaji wa mambo. Tumebaki sisi wenyewe CCM na lazima tupigane na kusigana wenyewe. DADEKI!
Kwa tafsiri ya haraka, nyongeza ya mshahara ya kila mfanyakazi wa Tanzania ni sawa na transaction moja ya kutuma au kutoa shilingi elfu ishirini kwenye mtandao wa simu.
Hiyo statement ya kuwa Serikali itaachia mihela haitakuja itokee kamwe. Dr. Mwigulu anafikir bado yupo zile Enzi za kusema mbovumbovu bungeni kama ilivyokuwa wakati wa JPM. Kwa sasa Bungeni hamna upinzani - kilichobaki upinzani utakuwa miongoni mwetu sisi wenyewe.
Rais Samia hawa watu hukutakiwa kwenda nao - yaani waropokajiropokaji wa awamu ya tano walitakuwa waishie kwenye awamu hiyo hiyo.
Mama ukiendelea kuwalea lea hawa watakurudia wewe mwenyewe - kwa sasa hamna upinzani mseme kuwa mtawasingizia hao ndiyo wakwamishaji wa mambo. Tumebaki sisi wenyewe CCM na lazima tupigane na kusigana wenyewe. DADEKI!