Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Nchemba ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa sherehe ya ufunguzi wa Jengo la Makao Makuu ya Benki ya CRDB Jijini DSM.
Waziri amesema CRDB ndio Bank pekee iliyo itikia wito wa BoT wa kupunguza RIBA.
Ushauri;
NMB Badilikeni.....acheni kufanya kazi kwa mazoea igeni CRDB
Waziri amesema CRDB ndio Bank pekee iliyo itikia wito wa BoT wa kupunguza RIBA.
Ushauri;
NMB Badilikeni.....acheni kufanya kazi kwa mazoea igeni CRDB