Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ni Kwenye kikao chake na viongozi wa serikali zilizo kuwa zinafanyika kwenye ofisi ya Kata ya maji ya chai...Awali habari ziliwafikia viongozi wa CHADEMA kuwa Mwigulu na wafanyakazi hao wa serikali wako kwenye kikao cha siri wakipanga mikakati ya ushindi kwenye ofisi ya kata ya Maji ya chai ndipo viongozi wa CDM na TAKUKURU wakajipanga kwenda kutibua mchezo huo mchafu wa ccm lakini mita chache kabla ya kufika kwenye ofisi hiyo viongozi hao wa serikali pamoja na mwigulu walitimua mbio huku CDM na TAKUKURU wakiambulia viatu..
=============
Mambo yamezidi kuwa magumu kwa CCM baada ya wazee na wachungazi wa makanisa mbalimbali kukata katakata kumpigia kampeni kama walivyo kuwa wameomba na Mwigulu ni kutokana tetesi kuwa Siyo Sumari ni Freemason na wanasema ana dalili zote kama kotoboa masikio, kuwa tatoo na nk...wamesema iliwaweze kumfanyia kampeni ni lazima Mwingulu ampeleze Siyoi Sumari kwa wazee hao wakajilizishe....
Na kufatia tifu tifu la Mwingulu na makada wa CCM pamoja na viongozi wa kata kukoswa koswa na TAKUKURU na baadae viongozi hao kurumbana sana wakishutumiana kuwa kuna wasariti kati yao hali iliyopelekea vikao kutokuendelea, kitendo hicho kimepelekea Mwingulu itwe Dar es Salaam kwenda kutoa maelezo kwa uzembe huo. Wakati huo CCM imempa jukumu la kukusanya pesa bw. Paul Kiligini ambae alikuwa mfanyakazi wa benki kuu akasimamishwa kwa kashifa ya kufoji risiti alizo kuwa amewapeleka watoto wake mapacha kwenda kutibiwa India wakati aliekuwa mgonjwa ni mmoja yeye akafoji na badala ya US$ 35000 ikawa US$ 70,000...hivyo amepewa jukumu la kutafuta pesa kupitia makampuni mbalimbali na kuziwasilisha kwa Mwingulu kwa kumkabidhi na si kupitia mabenki na hilo ni jukumu lake Paul ili arudishwe kazini...
=============
UpdateMsimamizi wa Uchaguzi ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru amekiri ofisi hiyo kutumika na kikao cha CCM ambayao ni ofisi ya Serikali ya kata ya Maji ya chai na ameamua kuchukuwa Hatua kali kwa Mtumishi huyo ambae tyr amekiri kosa na kikao ni kweli kilitimka
Mambo yamezidi kuwa magumu kwa CCM baada ya wazee na wachungazi wa makanisa mbalimbali kukata katakata kumpigia kampeni kama walivyo kuwa wameomba na Mwigulu ni kutokana tetesi kuwa Siyo Sumari ni Freemason na wanasema ana dalili zote kama kotoboa masikio, kuwa tatoo na nk...wamesema iliwaweze kumfanyia kampeni ni lazima Mwingulu ampeleze Siyoi Sumari kwa wazee hao wakajilizishe....
Na kufatia tifu tifu la Mwingulu na makada wa CCM pamoja na viongozi wa kata kukoswa koswa na TAKUKURU na baadae viongozi hao kurumbana sana wakishutumiana kuwa kuna wasariti kati yao hali iliyopelekea vikao kutokuendelea, kitendo hicho kimepelekea Mwingulu itwe Dar es Salaam kwenda kutoa maelezo kwa uzembe huo. Wakati huo CCM imempa jukumu la kukusanya pesa bw. Paul Kiligini ambae alikuwa mfanyakazi wa benki kuu akasimamishwa kwa kashifa ya kufoji risiti alizo kuwa amewapeleka watoto wake mapacha kwenda kutibiwa India wakati aliekuwa mgonjwa ni mmoja yeye akafoji na badala ya US$ 35000 ikawa US$ 70,000...hivyo amepewa jukumu la kutafuta pesa kupitia makampuni mbalimbali na kuziwasilisha kwa Mwingulu kwa kumkabidhi na si kupitia mabenki na hilo ni jukumu lake Paul ili arudishwe kazini...
Wana JF salam.
Nimeiona thread hii kama inavyosomeka. Naomba kuweka sawa kuwa mtoa maada hana taarifa sahihi. Mimi sujakimbia wala kukimbizwa wala kuonana na TAKUKURU. PIA SIJAFANYA KIKAO NA VIONGOZI WA SERIKARI BALI NIMEFANYA KIKAO NA MAKATIBU, WENYEVITI WA CCM MATAWI NA MABALOZI.
KUHUSU VIONGIZI WA CDM SIO KWAMBA WALIKUJA PALE NA TAKUKURU BALI MIMI NILIWAKUTA WAKIWEPO MH VINCENT NYERERE NILUPOFIKA TUKASLIMIANA WAKAONDOKA WAKANIACHA NDIO NIKAANZA KIKAO CHANGU. KILICHOTOKEA WALIAMBIWA KUNA WANA CCM WANAFANYIA KIKAO KWENYE OFC YA SERIKALI NDIO WAKAENDA ILI WAHAKIKI WAPATE KITU CHA KUKATA RUFAA BAADA YA MATOKEO. WALIPOFIKA WAKAELIMISHWA KUWA HIYO NI OFC YA CCM NAMI NDIO NIKAFIKA TUKASALIMIA NA MH NYERERE PEACE KABISA AKAONDOKA.
SASA NAFANYA KIKAO CHA WANANA CCM NIKIMBIE NINI HATA KAMA NILIKUWA NA HELA NIKIMBIE NINI MBONA TAR MOJA NILILIPA KIKAO CHOTE WAJUMBE NA TAKUKURU WALIKWEPO NDANI NA HIYO NI STAHILI YA WAJUMBE. WANA JF POSHO YA KIKAO YA KIKATIBA HUTOLEWA KWA MJIBU WA KATIBA HAIKOMI WAKATI WA UCHAGUZI.
TUSITAFUTE VISINGIZIO TUTAFUTE PANADOL ZA KUPUNGUZA MAUMIVU MAANA NDIO HIVYO YAMEANZA POLEPOLE. TUNA IMANI CCM INASHINDA