BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
Akiongea kwa upole na sauti ya unyenyekevu mkubwa na wananchi wa Ndago na vijiji vya jirani kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi-CCM (Bara), Mh. Mwigulu Nchemba (Mb) pamoja na mambo mengine alitumia muda wake alipopanda jukwaani kusisitiza mshikamano ndani ya Chama cha Mapinduzi-CCM.
Wakati Nchemba akisisitiza mshikamano Mbunge wa Jimbo la Mtera na rafiki yake mkubwa Mh. Livingstone Lusinde (aka Msumari wa Moto) aliyeambatana na Mh. Mwigulu aliwataka wananchi wa Iramba kutoipoteza lulu yao (Nchemba) kwa sababu ni zawadi kutoka kwa Mungu, wakati Mwigulu amejikita kutoa misaada kwenye mashule na taasisi mbalimbali, alikemea watu wanaobeza juhudi hizo ili hali wao wanawajengea wananchi vilabu vya pombe.
Source, mimi mwenyewe
Wakati Nchemba akisisitiza mshikamano Mbunge wa Jimbo la Mtera na rafiki yake mkubwa Mh. Livingstone Lusinde (aka Msumari wa Moto) aliyeambatana na Mh. Mwigulu aliwataka wananchi wa Iramba kutoipoteza lulu yao (Nchemba) kwa sababu ni zawadi kutoka kwa Mungu, wakati Mwigulu amejikita kutoa misaada kwenye mashule na taasisi mbalimbali, alikemea watu wanaobeza juhudi hizo ili hali wao wanawajengea wananchi vilabu vya pombe.
Source, mimi mwenyewe